Hawa wasanii Wa bongo wanashida gani? Je; Wanatanguliza maisha ya anasa au ni nini?
Umaarufu wao unafaida gani kama pesa ya kujitibia tu hawana?
Kuna watu wanaleta hoja dhaifu kwamba makampuni wanayo ya promote eti yawe yanawajibika kuwatibia;
Hivi Hamtambui kwamba kuna mikataba, tena baadhi ya wasanii hulipwa pesa zote, lakini huzitapanya kwa anasa?
Umaarufu wao unawasaidia nini kama hawawezi kujitibia?
hilo pia linaenda saambamba na baadhi ya viongozi waliowahi kutumikia nchi hii
Umaarufu wao unafaida gani kama pesa ya kujitibia tu hawana?
Kuna watu wanaleta hoja dhaifu kwamba makampuni wanayo ya promote eti yawe yanawajibika kuwatibia;
Hivi Hamtambui kwamba kuna mikataba, tena baadhi ya wasanii hulipwa pesa zote, lakini huzitapanya kwa anasa?
Umaarufu wao unawasaidia nini kama hawawezi kujitibia?
hilo pia linaenda saambamba na baadhi ya viongozi waliowahi kutumikia nchi hii