Kuna faida gani ya umaarufu wa msanii kama hawezi hata kujitibia hadi achangiwe na wananchi?

Kuna faida gani ya umaarufu wa msanii kama hawezi hata kujitibia hadi achangiwe na wananchi?

We jiulize Mtu anastafuu analipwa mln 100 na anajipanga kimaisha,hao wasani wanaingiza hela hizo ktk kipindi kifupi tu....tena Syo mara moja tatizo hyo mzee alikuwa anawadukua wadada sana hku akijua atapata deals zingine Hajui maisha hayatabiriki wakati wowote black inaweza kuwa white......mm wasanii siwaoni huruma n'a siwezi wachangia hela

Ova
acha masihara, yule babu sidhani wale si sawa nawajukuu?
 
Back
Top Bottom