Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna aliyewarogaMtu kama king majuto angekua mbele angekua hashikiki yaan bepari moja matata sana. Sasa bongo mivi sijui ni nani kawarogha
ndiyo maana wanaitwa wasanii!...wanaishi maisha ya maigizo sana!....Wakiumwa wanaanza michango..hivi kila mgonjwa angekuwa anaomba msaada pangekalika kweli..
NSSF kuna voluntary package na mpaka matibabu unapata lkn hawajiungiNHIF waanzishieni wasanii package yao ya Bima ya Afya . Mtawapata wengi na mtawasaidia sana na hizi fedheha za kuomba omba kila siku wakiugua wanatembeza bakuli
NSSF kuna voluntary package na mpaka matibabu unapata lkn hawajiungi
Sasa kama mtu huwezi hata kuchangia elf 20 kwa mwezi naww ni msanii bora ujifiche pangoni tuKwa sababu wasanii hawana desturi ya kuweka akiba hii ya NSSF itawashinda mara moja
Sasa kama mtu huwezi hata kuchangia elf 20 kwa mwezi naww ni msanii bora ujifiche pangoni tu
Wanadumbua kama ruzuku vile!Tatizo lao hela wanapata sema hawana utamaduni wa kutunza fedha....wao wakipata hela ni kuwafukunyua wadada tu hela yote wana invest chini huko!
Huku wakijua kesho watapata hela tena kwenye Dili lingine wakati hawajui kuwa maisha siyo Kila siku utaterezaaa tu lazima Ipo siku utapigika
Ova
We jiulize Mtu anastafuu analipwa mln 100 na anajipanga kimaisha,hao wasani wanaingiza hela hizo ktk kipindi kifupi tu....tena Syo mara moja tatizo hyo mzee alikuwa anawadukua wadada sana hku akijua atapata deals zingine Hajui maisha hayatabiriki wakati wowote black inaweza kuwa white......mm wasanii siwaoni huruma n'a siwezi wachangia helaWanadumbua kama ruzuku vile!
kwann mkuuWachangiwe na ccm tuu
kabisaHakuna faida