Kuna gari ukiendesha unaonekana 'muhuni', inasikitisha sana

RRONDO

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
55,727
Reaction score
123,094
Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
 
Altezza haijaonewa...hiyo ni gari ya wahuni..,sijawahi kuona kijana smart au mzee wa heshima amekaa humo..
Humo wanakaa wale vivuruge wa k vant na mirungi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…