Kuna gari ukiendesha unaonekana 'muhuni', inasikitisha sana

Kuna gari ukiendesha unaonekana 'muhuni', inasikitisha sana

Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
Kama kumiliki IST na Crown ni Uhuni basi Wahuni ni wengi sana duniani akiwemo Papa wa Vatican na Prof Assad [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
my friend, ukikua, ukawa na familia kubwa kama sisi wenzako, majukumu ya kutosha kama sisi wenzako, utakuja kujifunza kwamba gari yeyote unayoibudu ni gari tu alimradi unarahisisha maisha yako. yote yanatumia mafuta, yote yanaweza kupata ajali, na yote yanaweza kukufikisha unakotaka kwenda. basi.
 
my friend, ukikua, ukawa na familia kubwa kama sisi wenzako, majukumu ya kutosha kama sisi wenzako, utakuja kujifunza kwamba gari yeyote unayoibudu ni gari tu alimradi unarahisisha maisha yako. yote yanatumia mafuta, yote yanaweza kupata ajali, na yote yanaweza kukufikisha unakotaka kwenda. basi.
Dont be too emotional. Relax usije kufa kwa magonjwa yadiyoambukiza. Ushauri mwingine soma kitu ukielewe bila kuweka emotions zako.
 
Dont be too emotional. Relax usije kufa kwa magonjwa yadiyoambukiza. Ushauri mwingine soma kitu ukielewe bila kuweka emotions zako.
sifi leo wala kesho. ila nimejifunza kwenye maisha usikompliketi sana vitu. nakushauri furahia gari yeyote utakayobarikiwa nayo, na asiwepo mtu wa kukudharau kwasababu hajakununulia na hamuishi pamoja.
 
Back
Top Bottom