Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wanajikutaga wameyapatia maisha sana aisee!Na kaptura fupi
Sasa trekta la nini wakati sio mkulima?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu wananing'iniza funguo kwenye ruksi, huku wamevaa visoksi na visendo.
Mavitambi makubwaa, hapo unamkuta Sinza kwa Remy anaenda kugonga bia.
me pia,bora IST
Hapo kwenye Vw polo na Impreza za kuanzia 2011, unaipiga tinted full, Ahaha ukiachana na watu kukuchukulia muhuni pia lazima binafs uwe na chembechembe za kigang gang hv ndo inanogaYaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
Kirikuu,bajaj na zile pikipiki za mizigo(toyo) sijui zimewakosea nini hawa trafiki wetu!Nyie ni marafiki wa trafiki
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]dah unawakosea sana vijana wamilikizile Mini Copper unaonekana shoga [emoji2960]
Hizo chuma huko Kenya nasikia zinabeba hadi abiria 16
New model ya mwaka 2009 😄😄😄New model iko poa, zile za Uber ndio wanazichukulia poa. Hii new model bado imekomaa kwenye 19m?
wivu tu 😄😄😄Hizo gari zina fujo sana roadini
😄😄😄😄.. mnatuonea wivu tu.. na mzikii mkubwaaa wa DiksoundHalafu wananing'iniza funguo kwenye ruksi, huku wamevaa visoksi na visendo.
Mavitambi makubwaa, hapo unamkuta Sinza kwa Remy anaenda kugonga bia.