Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Zile ni boksa zilizo changamka 😄😄Na kaptura fupi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile ni boksa zilizo changamka 😄😄Na kaptura fupi
wivu tu [emoji1][emoji1][emoji1]
Ila pale ifm changamoto sana. Mnatembea barabarani kabisa kwa mariiiiingoALTEZA mxieeew. Kuna maza alikua anaendesha posta mitaa ya chuo kwetu anatuletea miguini aisee mitaa ya TANESCO. nikamwuliza kama gari lake ama la mumewe. Akaniuliza kwani vipi nikamjibu acha kuendesha magari ya wavulana. Mxieew kabisa. Aletza watengwe.. makelele tu.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Thats typical old school. Naipendaa. Maybe i am out of fassionNa VW beetle a.k.a mgongo wa chura?
Kwani forester haina sti?jaribu kuwa deep kabla ya ku-coment!Wivu tu...
Anayemiliki subaru ndo mwanaume sasa...lkn sio viforester vyenu.
Subaru ya maana wrx, sti ,gc8, n12 na makolokocho mengine ya maana.
No, pembezoni bwana. Tena tanesco. Alikua anaingia kwa sifa...Ila pale ifm changamoto sana. Mnatembea barabarani kabisa kwa mariiiiingo
Indeed[emoji23][emoji23] kwanza si salama sanaaa kwa safari kwanza.School bus
Hata pikipiki hivyo hivyo ukiendesha Honda 110 unaweza pewa mke bure kabisa ukiipaki sehemu unayochumbia wanakuelewa fasta maana bei yake imesimama madingi wanaelewa bila m.9 humiliki pikipiki 110 wahuni wa SanLG na Boxer hamuelewi somo hili kumiliki Honda 110 lazima uwe na mpunga wa kumiliki Boxers 3 haki ya mama mzazi.Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
Altezza kweli ni uhuni tuYaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
Ile gari ya askari eti dah 😅😅😅Kama ile ya RAMBO full mirangi ya ajabu na vitv kwenye vioo
Mjapan alicheza pale bonge la multipurposeHizo chuma huko Kenya nasikia zinabeba hadi abiria 16
Mungu ni mwema tumesalimikaYaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
Hata mimi naipendaThats typical old school. Naipendaa. Maybe i am out of fassion
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
We acha tuIle gari ya askari eti dah 😅😅😅