Kuna gari ukiendesha unaonekana 'muhuni', inasikitisha sana

Kuna gari ukiendesha unaonekana 'muhuni', inasikitisha sana

wivu tu [emoji1][emoji1][emoji1]
Screenshot_20220205-133314.jpg
 
ALTEZA mxieeew. Kuna maza alikua anaendesha posta mitaa ya chuo kwetu anatuletea miguini aisee mitaa ya TANESCO. nikamwuliza kama gari lake ama la mumewe. Akaniuliza kwani vipi nikamjibu acha kuendesha magari ya wavulana. Mxieew kabisa. Aletza watengwe.. makelele tu.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ila pale ifm changamoto sana. Mnatembea barabarani kabisa kwa mariiiiingo
 
Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
Hata pikipiki hivyo hivyo ukiendesha Honda 110 unaweza pewa mke bure kabisa ukiipaki sehemu unayochumbia wanakuelewa fasta maana bei yake imesimama madingi wanaelewa bila m.9 humiliki pikipiki 110 wahuni wa SanLG na Boxer hamuelewi somo hili kumiliki Honda 110 lazima uwe na mpunga wa kumiliki Boxers 3 haki ya mama mzazi.
 
Back
Top Bottom