Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hahahaha[emoji23]Nimepishana nayo muda huu Masaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha[emoji23]Nimepishana nayo muda huu Masaki
Decent rideMungu ni mwema tumesalimika
View attachment 2108902
We nae. Hivyo viforester vyenu common sio sti. Najua ambazo zinazoKwani forester haina sti?jaribu kuwa deep kabla ya ku-coment!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ndo jf
Sasa mkuu gari ni yakwakwe wewe usimuukumu maana auja mchangia hata senti moja.Una mkuta mtu anakitambi anamiliki ist
HahahaJF bana[emoji1], kila mtu ana gari la milioni 200
Mna fujo zenyu na nyie halafu huwa mnajiona baaab kubwa sanaaa[emoji1787][emoji1544][emoji1550][emoji1550]Sisi wa FUGA tunaomba msituchangaje na hao kunguni[emoji23] haza teza
Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
Watu wa baby walkerNa wanaosukuma fun cargo munawaonaje?
Bitozi na kujifanya high class statusNa sisi wa van gurd je!!
Gari ni gari tu binafsi napenda performance so kama kuna mtu anakuona mhuni au kijana ni upumbavu wake tu na maisha furahia ufanyachoGari za vijana hizo.
[emoji28][emoji28]Bitozi na kujifanya high class status
Mna fujo zenyu na nyie halafu huwa mnajiona baaab kubwa sanaaa[emoji1787][emoji1544][emoji1550][emoji1550]
Cc ISO M.CodDSisi wa FUGA tunaomba msituchangaje na hao kunguni😂 haza teza
Na nchi ambayo magari yana jinsia! Yaani ya kike na ya kiume!KARIBU TANZANIA NCHI AMBAYO UKIMILIKI GARI LA KITOFAUTI UNAITWA MUHUNI