Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaPolo mara nyingi magari ya wanawake....wahuni magari yao GTI.
Gari ni gari tu binafsi napenda performance so kama kuna mtu anakuona mhuni au kijana ni upumbavu wake tu na maisha furahia ufanyacho
Hakuna gar ya Mzee, kijana wala ya kike gari ni gar tu sema bongo ndio tabia zetu kipindi kile zinaingia gar za automatic watu walikuwa wanasema gar za kike na walemavu lakin miaka hii story imechange kabisa kuwa teza,sub,ist, na gar zingine ni gari za wahuni
Yani hao waendesha subaru ukiwapita tuu basi wao wanataka mshindane...🤣🤣🤣🤣 pia ja hizo WRX, GC8 na n12 je zipo zenye usajili wa DV,DX,DY ama ndo zile za DD, DA, ?🤣🤣🤣🤣Hiyo sio mbaya naipenda pia. Ila hawa wa altezza nakubali ni wahuni tu
Halafu unakuta ana bank account nene kuliko wewe mwenye prado J150Una mkuta mtu anakitambi anamiliki ist
Mkuu mambo ya mtandaoni ni kuyasoma na kuyapuuza tu, watanzania wa mitandaoni wamejawa na wivu, ujuaji, roho mbaya, majivuno na tabia mbaya zote unazijua wewe😂😂 so mitandaoni ndio sehem ya kumalizia stress zao. Ikitokea tu mtu kanyimwa lift huko mtaan alaf hyo aliyemnyima lift alikuwa ana IST basi utegemee IST itasemwa sana siku hyo itapewa majina mabaya yote😂😂😂😂sifi leo wala kesho. ila nimejifunza kwenye maisha usikompliketi sana vitu. nakushauri furahia gari yeyote utakayobarikiwa nayo, na asiwepo mtu wa kukudharau kwasababu hajakununulia na hamuishi pamoja.
Nyingi sio namba D. Zipo za namba A lkn bado zipo vizuri. Uimara wa gari ni matunzo.Yani hao waendesha subaru ukiwapita tuu basi wao wanataka mshindane...🤣🤣🤣🤣 pia ja hizo WRX, GC8 na n12 je zipo zenye usajili wa DV,DX,DY ama ndo zile za DD, DA, ?🤣🤣🤣🤣
Hata tako la nyani kaka...unaonekana wa kidimbwi yanYaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
We unamiliki Gari gani?Wivu tu...
Anayemiliki subaru ndo mwanaume sasa...lkn sio viforester vyenu.
Subaru ya maana wrx, sti ,gc8, n12 na makolokocho mengine ya maana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sahihi kabisa, tena exhaust ikiwa inatoa milio ndiyo shughuli imekamilika
Inferiority Complex ni Ugonjwa Mkubwa sanaa. Wengi wanaofikiria hivyo jata Pikipiki Boxer hawana. Waswahili tuna Shida Sanaa.Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
Huwa najuiuliza shida wanazopata hawa jamaaa barabarani yaani sipati jibu; hawezi kumpita trafic asisimamishweNyie ni marafiki wa trafiki
Mlimani enzi hizoKumbe unamjua
Wabongo ndivyo walivyo. Hata kwenye huu uzi 99.9% hawana hata Pikipiki🤣🤣Gari ni gari tu binafsi napenda performance so kama kuna mtu anakuona mhuni au kijana ni upumbavu wake tu na maisha furahia ufanyacho
Hakuna gar ya Mzee, kijana wala ya kike gari ni gar tu sema bongo ndio tabia zetu kipindi kile zinaingia gar za automatic watu walikuwa wanasema gar za kike na walemavu lakin miaka hii story imechange kabisa kuwa teza,sub,ist, na gar zingine ni gari za wahuni
PassoWe unamiliki Gari gani?
You gotta be grateful 😀Passo
Ikiwa DV, DX, DY ndo mpyaaa🤣🤣Yani hao waendesha subaru ukiwapita tuu basi wao wanataka mshindane...🤣🤣🤣🤣 pia ja hizo WRX, GC8 na n12 je zipo zenye usajili wa DV,DX,DY ama ndo zile za DD, DA, ?🤣🤣🤣🤣