Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma

Dah....bado mapema sana....mpeni mama muda apige kazi 🤣🤣🤣🤣
 
Ukiondoa paragraph ya kwanza. Kila paragraph uliyoandika umeanza na neno "Bahati Mbaya". Labda nikukumbushe tu, hakuna BAHATI ambayo ni mbaya.
 
Mbona Magufuli ndiyo alikuwa fisadi papa? Maana kwa mwaka 2016-18 alikutwa na upotevu wa Tsh 2.4 Trillion kwa mujibu wa CAG report. Yaani hata ungejumlisha uwizi wa marais 4 waliomtangulia haufikii alizoiba yeye peke yake.
 
Mbona Magufuli ndiyo alikuwa fisadi papa? Maana kwa mwaka 2016-18 alikutwa na upotevu wa Tsh 2.4 Trillion kwa mujibu wa CAG report. Yaani hata ungejumlisha uwizi wa marais 4 waliomtangulia haufikii alizoiba yeye peke yake.
Subirini Mama akitoka madarakani ninakuhakikishia atafungwa maana bunge litamuondolea kinga, na hapo ndipo mtaelewa maana ya fitina. Sasa anaachwa tu ajianike na hivi kesha jinasibu na mauaji ya mtangulizi wake, stay tuned enyi wauaji.
 
Watetezi wa mtu mtekaji, asifuata utawala wa sheria, mbaguzi na mkabila, mpenda sifa, katili na mwenye chuki kupindukia. Aliendesha uchaguzi wa kibabe kama kweli alikua anapendwa angafanya uchaguzi wa haki. Sasa tumepata ahueni sana na wengine tunaonekana ni watanzania. Alivunja record akajenga kwao uwanja wa ndege na kuhamishia wanyama pori nyumbani kwao huku akiwa amejaza ndugu zake kwenye madaraka nchi ilikua inaenda kubaya sana tukushuru sana.
 
Wewe mwenyewe una genge lako, either mmepigwa au mmekosa fursa ya kuingia jikoni. Unazungumzia viwango vya aina gani.

Halafu Magufuli alikuwa anatetea wanyonge wepi, farasi kweli kweli wewe. Angekuwa anatetea wanyonge Mungu asingeruhusu afe. Kupoteza watu wanaohoji PhD yake ndio kutetea wanyonge? Wewe lazima ni chawa wa kikundi fulani ambalo limekosa mwelekeo. Kwa taarifa yako tatizo la nchi hii ni ccm, hata mmpepese macho lakini tatizo la nchi hii linabaki kuwa ni ccm tu.
 
Subirini Mama akitoka madarakani ninakuhakikishia atafungwa maana bunge litamuondolea kinga, na hapo ndipo mtaelewa maana ya fitina. Sasa anaachwa tu ajianike na hivi kesha jinasibu na mauaji ya mtangulizi wake, stay tuned enyi wauaji.
Ulichoandika hakiendani na hoja yangu. Acha kulialia, fitina alianzisha shetani wenu Magufuli na ndiyo maana alikufa licha ya kuiba kura zote za Uchaguzi wa 2020
 
Mwamba usihangaike na viongozi wa mpito, SSH ni kiongozi wa mpito apende asipende ndiomana sasa hivi anafanya potelea mbali aendelee kula kwa urefu wa kamba yake kwa sasa hadi 2025
We kweli Kichwamoto. Hujui kwanini alishauri mchakato wa katiba mpya uanze baada ya 2025. Kwa akili yako Jiwe alishinda 2020 kwa 84%? Basi endelea kusubiri embe chini ya mnazi. Tambua tu Mpito ni Mpaka 2030. Na akitaka kuwa na tamaa za kijinga kama za Jiwe; kutaka mitano tena anaweza. Ni kuboresha tu njia alizochemka Jiwe, kwa kutokuwa na visasi, roho ya unyama, uongo uongo wa kupika data, kuita binadamu wanyonge, kuvaa barakoa na kuruhusu watu waongee bila kuwateka ili kuweza kusikia upumbavu kama huu wa kuita rais wa mpito. Ikiwa yule asiye wa mpito ame REST Chato.
 
Hahahaaa kakimbia uzi. Piga kazi mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa. JPM katulia zake kuzimu uko.km vp mfate
 
Hafu watu wanajimwambafy huku mtaani hakiyanani research yangu inatosha yaani mtaani hawaelewi kitu zaidi ya JPM whether alikuwa dictator , shetani , wampe kila jina ila alishateka nyoyo za watu
Kama alivyo sema zito wakazikwe nae chato. JPM katulia zake kuzimu uko
 
Kazi kweli kweli! Shida iko wapi? Kama kapangiwa mitano ni mitano tu haitazidi wala kupungua!
Na kama ni 10 hakuna wa kumuondoa ila yeye aliyemuweka.
Kumbuka kuna aliyehoji AKIONDOKA nani ataendeleza miradi aliyoianzisha? Akadai eti kama ataondoka wapo watu watang'oa madaraja anayojenga na kwenda kuuza Screper. Laa!!! Leo hayupo!!!
 
Majungu ndiyo mtaji wa wana ccm wengi . Haya ni majungu matusi!
Kinana alihusikaje na kifo cha magufuli?
Kinana alimtukana magufuli wapi?
Unapokuwa simu/ kudukua faragha/ Simi za watu kama alivyofanya yule chizi wenu unayemuabudu kila uchao. Unakuta watu wanajadili mambo yao kisha wapumbavu wenzako wanasema umetukanwa? Serious?
 
Una uhakika na hizo tuhuma zako? Ukiitwa unaweza kuthibitisha?
 
Subirini Mama akitoka madarakani ninakuhakikishia atafungwa maana bunge litamuondolea kinga, na hapo ndipo mtaelewa maana ya fitina. Sasa anaachwa tu ajianike na hivi kesha jinasibu na mauaji ya mtangulizi wake, stay tuned enyi wauaji.
Bunge lipi lenye uwezo huo? Hao wabunge walioingia wote kwa kubebwa na vyombo vya dola? Hatuna bunge hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…