Kama kuna ulazima wa kuaga ilitakiwa ifanyike ngazi ya familia tu, kuruhusu kadamnasi nayo iage ni kutoa mwanya hata kwa waliokuwa wanamtmb€@ mkewe kupita na kumsanifu tu.
kuna haja gani kuwapungia mkono wa kwa kheri watu wanaposafiri, maana hoja yako ina maana kuwa kuaga ni jambo baya kwa wale tulionao kila siku maishani mwetu..