Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Kuna rafik yangu hajui kiswahili ameingia Tanzania leo kuja kutalii, ametoka marekani akaenda kwanza Entebe Uganda, kisha Nairobi Kenya leo kafika Dar.
sasa kanipigia simu ananiuliza nimwambie maana ya ten book wameshindwa kuelewana na dereva teksi,amemuuliza dereva teksi kwenda katikati ya mji ni kiasi gani dereva teksi hakajibu teni buku yani anaamanishi buku teni ( 10,000)
na amejiona yuko sahihi.
kuna haja ya kujua vizuri kiswahili na kiingereza pia ni muhimu sana kwa dunia ya sasa hivi kama wewe ni mfanyabiashara.
Amesikitisha sana dereva teksi hatuna budi kujua ata vitu muhimu muhimu.
sasa kanipigia simu ananiuliza nimwambie maana ya ten book wameshindwa kuelewana na dereva teksi,amemuuliza dereva teksi kwenda katikati ya mji ni kiasi gani dereva teksi hakajibu teni buku yani anaamanishi buku teni ( 10,000)
na amejiona yuko sahihi.
kuna haja ya kujua vizuri kiswahili na kiingereza pia ni muhimu sana kwa dunia ya sasa hivi kama wewe ni mfanyabiashara.
Amesikitisha sana dereva teksi hatuna budi kujua ata vitu muhimu muhimu.