CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,067
Kuna rafik yangu hajui kiswahili ameingia tanzania leo kuja kutalii,ametoka marekani akaenda kwanza Entebe Uganda,kisha Nairobi Kenya leo kafika Dar.
sasa kanipigia simu ananiuliza nimwambie maana ya ten book wameshindwa kuelewana na dereva teksi,amemuuliza dereva teksi kwenda katikati ya mji ni kiasi gani dereva teksi hakajibu teni buku yani anaamanishi buku teni ( 10,000)
na amejiona yuko sahihi.
kuna haja ya kujua vizuri kiswahili na kiingereza pia ni muhimu sana kwa dunia ya sasa hivi kama wewe ni mfanyabiashara.Amesikitisha sana dereva teksi hatuna budi kujua ata vitu muhimu muhimu.
Huyo jamaa yako ndiyo amezidi ushamba, vitu vya kwanza kujifunza kabla hata haujaenda nchi za watu ni salamu na pesa! hajui hata pesa ya bongo inaitwaje, hajui elfu hajui moja hajui kumi ni kilaza tu! Mwambie aende China akaone. Safi sana dreva teksi, tena ungemwambia tu, ELFU KUMI, mbona inaeleweka. Wewe unatuaibisha tu.