Kuna haja kubwa ya Watanzania kujifunza English,huyu dereva teksi ametuaibisha

Kuna haja kubwa ya Watanzania kujifunza English,huyu dereva teksi ametuaibisha

Namlaumu sana rafiki yako ambae alishindwa kujua kuwa anakuja ugenini hivyo angehitaji kuwa na mwenyeji yatapotokea madhila kama hayo. Nina mashaka na upeo wake wa kufikiri kwa kweli...
Kujifunza Kiingereza sio lazima, ukizingatia dereva teksi yuko kwao ambako Kiswahili ni lugha yao. Mawazo duni kama haya ndio yanamfanya mtu ashindwe kujiamini kabisa kwa kuwa tu hajui Kiingereza, na pia yanafanya watu washoboke na zuzu kwa kuwa tu anazungumza Kiingereza.
Kuna rafik yangu hajui kiswahili ameingia Tanzania leo kuja kutalii, ametoka marekani akaenda kwanza Entebe Uganda, kisha Nairobi Kenya leo kafika Dar.

sasa kanipigia simu ananiuliza nimwambie maana ya ten book wameshindwa kuelewana na dereva teksi,amemuuliza dereva teksi kwenda katikati ya mji ni kiasi gani dereva teksi hakajibu teni buku yani anaamanishi buku teni ( 10,000)
na amejiona yuko sahihi.

kuna haja ya kujua vizuri kiswahili na kiingereza pia ni muhimu sana kwa dunia ya sasa hivi kama wewe ni mfanyabiashara.

Amesikitisha sana dereva teksi hatuna budi kujua ata vitu muhimu muhimu.
 
Back
Top Bottom