[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tuwahurumie ujue sio jambo la kawaida, Ulikua unamshahara harafu ghafla hola, unaanza kuuza genge lazima makasiriko kama yote na kushusha essay kwenye kila thread ya huyo mtu.Unakuta mtu anacommet kwa hasira kama anapigana na simu yake,kumbe anamfokea Marehemu.Kweli huu ni uchizi.
Mimi mmojawao,nikisikia jina lake tu Mori inapandaIli watu wasahau muacheni msiandike habari zake. Inaonekana kuna watu wanahasira nae akitajwatu wanalipukwa na hasira na chuki za dhahiri.
Kosa la kwanza alikua mpumbavuTaja makosa yake ili tujue tunaanzia wapi. Achana na tuhuma maana zinaweza kuwa kweli au si za kweli.
Elezea MAKOSA YA DHAHIRI (ya kweli) aliyoyafanya
Unaonekana una dhiki mpaka kwenye kope za macho.Pambana na maisha ujikomboe,kumtolea povu marehemu hakukupi unafuu wa maisha yakoKosa la kwanza alikua mpumbavu
The guy is dead and gone kamwe hawezi kurudi.Ni miaka miwili kamili leo hii tangu aliyekuwa rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania hayati John Pombe Magufuli afariki dunia.
Kifo cha Magufuli kilipokelewa kwa hisia tofauti na watanzania wengi wakionesha kushtushwa na kifo cha ghafla cha rais aliyekuwa madarakani.
Magufuli alifanya mengi yaliyowafurahisha watanzania lakini pia alifanya mengi yaliyowachukiza watanzania. Wapo wanaodai uongozi wa Magufuli uliwaumiza wao binafsi au biashara na ajira zao. Kama taifa kuna watu wanaona uongozi wa Magufuli ulitenda mambo yaliyoliumiza taifa letu kiuchumi na kijamii.
Je, kuna haja ya kufanyika maridhiano kati ya serikali (kwa niaba ya Magufuli) na wananchi ambao wengi wameonesha hasira zao kwa uongozi wa awamu ya tano wa hayati Magufuli?
Upo dhofuri khali hata kiafya,huo mori unampandishia njiwa au sisimizi?Mimi mmojawao,nikisikia jina lake tu Mori inapanda
Kweli kuna haja ya kusameheana...
Maridhiano ni mpaka kuwe na pande mbili..
Upande uliohusika ukikiri makosa na kuomba, maridhiano yatakuwepo..KUKIRI MAKOSA.Kufanya maridhiano, itamaanisha kuwe na kamati itakayochunguza na kuweka bayana maovu yote ya marehemu, halafu wapatikane walioathirika moja kwa moja, kama vile familia zilizopoteza wapendwa wao ambao waliuawa kwa amri ya marehemu, waliotekwa, waliopotezwa, waliobambikiwa kesi, walioporwa pesa zao, walioporwa kura zao kwenye uchaguzi, n.k.
Unadhani hilo litapunguza au kuongeza hasira?
Labda ndugu yake Azory gwanda.Bila ya shaka wewe ni miongonj wa waliotumbuliwa na JPM
Kama kuna Watanzania walioumizwa ba JPM kuhamia Ddm, waseme. Kama kuna,walioumizwa na standardgauge nao waseme. Kama kuna walioumizwa na umeme wa Bwawa la Nyerere, nao wajitokeze waseme. Waliomizwa na daraja la Selander Bridge au flyover za TAZARA na Ubungo, waseme. Kama kuna walioumizwa na maji na umeme na lami kila mahali (zamani ilikuwa sehemu chache tu za CHADEMA kupitia watendaji wa kutoka huko waliojaa serkalini na mashirika ya umma), nao waseme. Ila najua kina mbowe walitaka kumuua ole Sabaya ili Nchi iingie taharuki wakakamatwa, au waliokuwa wanaiba nyaraka za siri Mahakamani kuwapa mabeberu wa ndege zetu na makanikia hawo ndio wameumizwa na JPM. Au moneylaundrers walitumiwa na mabeberu kutakatosha hela chafu. It was their privilege, it is now their problem - deal with it, sisi msituhusishe.Ni miaka miwili kamili leo hii tangu aliyekuwa rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania hayati John Pombe Magufuli afariki dunia.
Kifo cha Magufuli kilipokelewa kwa hisia tofauti na watanzania wengi wakionesha kushtushwa na kifo cha ghafla cha rais aliyekuwa madarakani.
Magufuli alifanya mengi yaliyowafurahisha watanzania lakini pia alifanya mengi yaliyowachukiza watanzania. Wapo wanaodai uongozi wa Magufuli uliwaumiza wao binafsi au biashara na ajira zao. Kama taifa kuna watu wanaona uongozi wa Magufuli ulitenda mambo yaliyoliumiza taifa letu kiuchumi na kijamii.
Je, kuna haja ya kufanyika maridhiano kati ya serikali (kwa niaba ya Magufuli) na wananchi ambao wengi wameonesha hasira zao kwa uongozi wa awamu ya tano wa hayati Magufuli?
Then kuwe na aina fulani ya fidia kwa wahangaKufanya maridhiano, itamaanisha kuwe na kamati itakayochunguza na kuweka bayana maovu yote ya marehemu, halafu wapatikane walioathirika moja kwa moja, kama vile familia zilizopoteza wapendwa wao ambao waliuawa kwa amri ya marehemu, waliotekwa, waliopotezwa, waliobambikiwa kesi, walioporwa pesa zao, walioporwa kura zao kwenye uchaguzi, n.k.
Unadhani hilo litapunguza au kuongeza hasira?
Kama kuna Watanzania walioumizwa ba JPM kuhamia Ddm, waseme. Kama kuna,walioumizwa na standardgauge nao waseme. Kama kuna walioumizwa na umeme wa Bwawa la Nyerere, nao wajitokeze waseme. Waliomizwa na daraja la Selander Bridge au flyover za TAZARA na Ubungo, waseme. Kama kuna walioumizwa na maji na umeme na lami kila mahali (zamani ilikuwa sehemu chache tu za CHADEMA kupitia watendaji wa kutoka huko waliojaa serkalini na mashirika ya umma), nao waseme. Ila najua kina mbowe walitaka kumuua ole Sabaya ili Nchi iingie taharuki wakakamatwa, au waliokuwa wanaiba nyaraka za siri Mahakamani kuwapa mabeberu wa ndege zetu na makanikia hawo ndio wameumizwa na JPM. Au moneylaundrers walitumiwa na mabeberu kutakatosha hela chafu. It was their privilege, it is now their problem - deal with it, sisi msituhusishe.
....bila kusahau ambao ndugu zao walipotezwa au kuuawa, eg Azory Gwanda, Ben Saanane, wale wa kwenye viroba, nkWapo walioumizwa na risasi. Wapo walioumizwa na kwa account zao kuporwa fedha. Wapo watanzania walioumizwa kwa kunyimwa haki ya kukusanyika na kusema. Wapo walioumizwa kwa kuvunjiwa nyumba zao bila malipo stahiki. Wapo walioumizwa kwa kuachishwa kazi kinyemela. Wapo walioumizwa kwa ugawaji wa tenda kindugu. Wapo walionyimwa ajira kwasababu hawatoki kanda ya ziwa, etc.
Angalia hapa utajua cha kufanya 2025Ni miaka miwili kamili leo hii tangu aliyekuwa rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania hayati John Pombe Magufuli afariki dunia.
Kifo cha Magufuli kilipokelewa kwa hisia tofauti na watanzania wengi wakionesha kushtushwa na kifo cha ghafla cha rais aliyekuwa madarakani.
Magufuli alifanya mengi yaliyowafurahisha watanzania lakini pia alifanya mengi yaliyowachukiza watanzania. Wapo wanaodai uongozi wa Magufuli uliwaumiza wao binafsi au biashara na ajira zao. Kama taifa kuna watu wanaona uongozi wa Magufuli ulitenda mambo yaliyoliumiza taifa letu kiuchumi na kijamii.
Je, kuna haja ya kufanyika maridhiano kati ya serikali (kwa niaba ya Magufuli) na wananchi ambao wengi wameonesha hasira zao kwa uongozi wa awamu ya tano wa hayati Magufuli?