Kuna haja SIDO na karakana za Engineering kupewa semina ili wawe na bei rafiki katika uhunzi wao

Kuna haja SIDO na karakana za Engineering kupewa semina ili wawe na bei rafiki katika uhunzi wao

Samico Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2022
Posts
486
Reaction score
1,237
Mimi napenda tu kuwashauri hawa mafundi wenzangu waliopo SIDO na karakana nyingi katika nchi yetu!

Kama kuna mamlaka za kuwasaidia kuwaelemisha basi waelimishwe katika eneo la biashara!

Bei zao nyingi katika uhunzi wa vipuri siyo rafiki kabisa kwa mtanzania ukilinganisha na bidhaa ileile ukiiagiza kutoka kiwandani inje ya nchi.
Hata ukiamua kununua material mwenyewe unagundua kabisa kuna unafuu ukilinganisha na wao.

Kichaka wanachotumia kujifichia ni raw material's lakini ukitazama kwa kina wakati mwingine si kweli! Maana hata fanicha za mbao za kutoka misitu ya hapahapa kwetu ukitaka mlango, kitanda au kabati unaweza kushangaa sana ukubwa wa bei unadababishwa na nini.

Milango ya bati ya kichina ilipotambulishwa hapa nchini na wachina waliuza bei rafiki!

Lakini milango ilele ukiomba wakuundie SIDO wanakupa gharama kubwa sana kupita kiasi!

Ukiagiza mashine ya kuunda chaki kutoka china unaweza kuipata kwa bei rahisi tu chini ya 5mil, lakini mashine hiyohiyo wakikutengenezea hapo SIDO watakuuzia mara mbili ya bei ya china!

Ukiagiza kinu cha mashine kutoka inje unakipata kwa bei poa, lakini ukiwapa tenda SIDO wanakutajia bei kubwa mpaka unashangaa nini shida!

Mimi kama Fundi umeme kwenye idara yangu sichaji bei kubwa sana ni kidogo lakini mzunguko wa bei ndogo unaleta faida nyingi!

Naomba mamlaka ziwapatie elimu hawa ndugu zangu wahunzi! Wasilazimishe matatizo yao yote yatatuliwe kwa faida ya kazi moja! Bidhaa zao nyingi ni local made kwanini wanachaji bei za ajabu?

Wachina wanajazana mjini sahivi mwisho wa siku hizi karakana za SIDO ZITAKUFA kwa ujinga bei kubwa!
Tuwashauri hawa vijana wenzetu tamaa za faida kubwa huua kipaji!
 
Mimi napenda tu kuwashauri hawa mafundi wenzangu waliopo SIDO na karakana nyingi katika nchi yetu!

Kama kuna mamlaka za kuwasaidia kuwaelemisha basi waelimishwe katika eneo la biashara!

Bei zao nyingi katika uhunzi wa vipuri siyo rafiki kabisa kwa mtanzania ukilinganisha na bidhaa ileile ukiiagiza kutoka kiwandani inje ya nchi.

Mlango wa kichina ulipotambulishwa hapa nchini na wachina waliuza bei rafiki!

Lakini milango ilele ukiomba wakuundie SIDO wanakupa gharama kubwa sana kupita kiasi!

Ukiagiza mashine ya kuunda chaki kutoka china unaweza kuipata kwa bei rahisi tu chini ya 5mil, lakini mashine hiyohiyo wakikutengenezea hapo SIDO watakuuzia mara mbili ya bei ya china!

Ukiagiza kinu cha mashine kutoka inje unakipata kwa bei poa, lakini ukiwapa tenda SIDO wanakutajia bei kubwa mpaka unashangaa nini shida!

Mimi kama Fundi umeme kwenye idara yangu sichaji bei kubwa sana ni kidogo lakini mzunguko wa bei ndogo unaleta faida nyingi!

Naomba mamlaka ziwapatie elimu hawa ndugu zangu wahunzi! Wasilazimishe matatizo yao yote yatatuliwe kwa faida ya kazi moja! Bidhaa zao nyingi ni local made kwanini wanachaji bei za ajabu?

Wachina wanajazana mjini sahivi mwisho wa siku hizi karakana za SIDO ZITAKUFA kwa ujinga bei kubwa!
Tuwashauri hawa vijana wenzetu tamaa za faida kubwa huua kipaji!
Uko sahihi ila SIDO wanaunda mashine zenye ubora kuliko China. Mimi nilinunua mashine ya screen printing ilikuwa poa sana. Hata mimi naunga mkono kuwa washauriwe kuhusu biashara kwa sababu inaonekana wao akili yao kubwa ipo kwenye ufundi wao ila biashara hawako poa.
 
Mimi napenda tu kuwashauri hawa mafundi wenzangu waliopo SIDO na karakana nyingi katika nchi yetu!

Kama kuna mamlaka za kuwasaidia kuwaelemisha basi waelimishwe katika eneo la biashara!

Bei zao nyingi katika uhunzi wa vipuri siyo rafiki kabisa kwa mtanzania ukilinganisha na bidhaa ileile ukiiagiza kutoka kiwandani inje ya nchi.

Mlango wa kichina ulipotambulishwa hapa nchini na wachina waliuza bei rafiki!

Lakini milango ilele ukiomba wakuundie SIDO wanakupa gharama kubwa sana kupita kiasi!

Ukiagiza mashine ya kuunda chaki kutoka china unaweza kuipata kwa bei rahisi tu chini ya 5mil, lakini mashine hiyohiyo wakikutengenezea hapo SIDO watakuuzia mara mbili ya bei ya china!

Ukiagiza kinu cha mashine kutoka inje unakipata kwa bei poa, lakini ukiwapa tenda SIDO wanakutajia bei kubwa mpaka unashangaa nini shida!

Mimi kama Fundi umeme kwenye idara yangu sichaji bei kubwa sana ni kidogo lakini mzunguko wa bei ndogo unaleta faida nyingi!

Naomba mamlaka ziwapatie elimu hawa ndugu zangu wahunzi! Wasilazimishe matatizo yao yote yatatuliwe kwa faida ya kazi moja! Bidhaa zao nyingi ni local made kwanini wanachaji bei za ajabu?

Wachina wanajazana mjini sahivi mwisho wa siku hizi karakana za SIDO ZITAKUFA kwa ujinga bei kubwa!
Tuwashauri hawa vijana wenzetu tamaa za faida kubwa huua kipaji!
Sido , D.I.T na University of Dar es Salaam bei zao ni ghali sana
 
Materials (vipuri) wanavyotumia hao SIDO kuunda hiyo mitambo tofauti wanavipata kwa bei rafiki?

Je, SIDO wana mashine za kisasa kwenye uundaji wa nyenzo/ vifaa wanavyounda?

Hakuna utitiri wowote wa kodi ambazo wanapaswa kulipa serikalini?
 
Wakichaji bei rafiki watapa wateja wengi hivyo ndivyo mfumo wa viwanda hurndeshwa

Nimeuliza hayo maswali kutaka kujua kwanza ni cost kiasi gani wanaingia kwenye uundaji wa vifaa vyao ili tuweze kujua bei wanazouza vifaa vyao ni sawa au wanapiga sana...

Mathalani, niliwahi msikiliza Kipanya akielezea alivyounda gari lake kwa mbinde, kiasi kuna mahali ambapo ilimlazimu kuingia gharama kubwa kwa sababu ya ukosefu wa mitambo ama ya kukunja bati, ughali wa ku-source battery za lithium kwa sababu hakuwa akifanya mass production ya magari yake na gharama nyinginezo kibao...
 
Nimeuliza hayo maswali kutaka kujua kwanza ni cost kiasi gani wanaingia kwenye uundaji wa vifaa vyao ili tuweze kujua bei wanazouza vifaa vyao ni sawa au wanapiga sana...

Mathalani, niliwahi msikiliza Kipanya akielezea alivyounda gari lake kwa mbinde, kiasi kuna mahali ambapo ilimlazimu kuingia gharama kubwa kwa sababu ya ukosefu wa mitambo ama ya kukunja bati, ughali wa ku-source battery za lithium kwa sababu hakuwa akifanya mass production ya magari yake na gharama nyinginezo kibao...
Bei ya kirikuu ya masoud na ukilinganisha na bei ya kirikuu ya mjapani ni mara tatu au nne!

Sasa hakuna namna ya kuboresha vitu angalau viendane na bei kwasababu inapoteza maana!
 
Mimi napenda tu kuwashauri hawa mafundi wenzangu waliopo SIDO na karakana nyingi katika nchi yetu!

Kama kuna mamlaka za kuwasaidia kuwaelemisha basi waelimishwe katika eneo la biashara!

Bei zao nyingi katika uhunzi wa vipuri siyo rafiki kabisa kwa mtanzania ukilinganisha na bidhaa ileile ukiiagiza kutoka kiwandani inje ya nchi.

Mlango wa kichina ulipotambulishwa hapa nchini na wachina waliuza bei rafiki!

Lakini milango ilele ukiomba wakuundie SIDO wanakupa gharama kubwa sana kupita kiasi!

Ukiagiza mashine ya kuunda chaki kutoka china unaweza kuipata kwa bei rahisi tu chini ya 5mil, lakini mashine hiyohiyo wakikutengenezea hapo SIDO watakuuzia mara mbili ya bei ya china!

Ukiagiza kinu cha mashine kutoka inje unakipata kwa bei poa, lakini ukiwapa tenda SIDO wanakutajia bei kubwa mpaka unashangaa nini shida!

Mimi kama Fundi umeme kwenye idara yangu sichaji bei kubwa sana ni kidogo lakini mzunguko wa bei ndogo unaleta faida nyingi!

Naomba mamlaka ziwapatie elimu hawa ndugu zangu wahunzi! Wasilazimishe matatizo yao yote yatatuliwe kwa faida ya kazi moja! Bidhaa zao nyingi ni local made kwanini wanachaji bei za ajabu?

Wachina wanajazana mjini sahivi mwisho wa siku hizi karakana za SIDO ZITAKUFA kwa ujinga bei kubwa!
Tuwashauri hawa vijana wenzetu tamaa za faida kubwa huua kipaji!
Uzi mzuri sana hongera. Nipo hapa kupata maarifa
 
Bei ya kirikuu ya masoud na ukilinganisha na bei ya kirikuu ya mjapani ni mara tatu au nne!

Sasa hakuna namna ya kuboresha vitu angalau viendane na bei kwasababu inapoteza maana!

Mkuu soma muktadha ambao nimeuweka kwenye maswali...

Vitu vinavyo influence price ni kama ifuatavyo:
1. Uhitaji wa bidhaa (Demand for the Product)
2. Gharama za uzalishaji (Production Costs)
3. Ushindani (Competitor Prices)
4. Aina za ushindani (Types of Competition in the Market)
5. Mgawanyo katika soko (Market share)
n.k

Sasa nimejaribu tu kuchokonoa mjadala kwa kuzingatia point nambari 2, maana ni hadi tutapojua gharama ambayo wenzetu wa nje kama hao Wachina wanazoingia katika uzalishaji, ndipo tutapoweza kusema cha kwetu ni ghali ama la...

Maana kama gharama za uzalishaji ni kubwa hapa kwetu, ni wazi hata bei ya uuzwaji bidhaa itakuwa kubwa
 
Inategemea na gharama za uzalishaji
Kiukweli gharama za uendeshaji hasa kupata raw materials ni pasua kichwa ndani ya bongo. Kwa mfano mimi nilijipinda kufungua kiwanda kidogo cha ushonaji ila nikakwama vibaya kupata fabrics. Nakumbuka bei za vitambaa Sunflag ilikuwa sio poa... yaani ukipiga hesabu unaona bora uagize tu nguo China kuliko kushona mwenyewe. Ilibidi niuze mashine zote. Huenda pia SIDO wanapata wakati mgumu kupata materials. Ila kwa ubora naweza thibitisha mashine za SIDO ziko poa kabisa.
 
Mkuu soma muktadha ambao nimeuweka kwenye maswali...

Vitu vinavyo influence price ni kama ifuatavyo:
1. Uhitaji wa bidhaa (Demand for the Product)
2. Gharama za uzalishaji (Production Costs)
3. Ushindani (Competitor Prices)
4. Aina za ushindani (Types of Competition in the Market)
5. Mgawanyo katika soko (Market share)
n.k

Sasa nimejaribu tu kuchokonoa mjadala kwa kuzingatia point nambari 2, maana ni hadi tutapojua gharama ambayo wenzetu wa nje kama hao Wachina wanazoingia katika uzalishaji, ndipo tutapoweza kusema cha kwetu ni ghali ama la...

Maana kama gharama za uzalishaji ni kubwa hapa kwetu, ni wazi hata bei ya uuzwaji bidhaa itakuwa kubwa
Duh hatari sana
 
Back
Top Bottom