Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Klabu yangu pendwa inatakiwa kufanya mabadiliko makubwa kama inataka kupiga hatua,hii inatokana kuwa na msimu mbovu zaidi katika misimu mitano iliyopita.
Kama kutakuwa na tabia ya kuangaliana usoni hakika bado tutaendelea kupata maumivu.
Kama kutakuwa na tabia ya kuangaliana usoni hakika bado tutaendelea kupata maumivu.