Kuna haja Simba kufanya mageuzi makubwa

Kuna haja Simba kufanya mageuzi makubwa

Hii billion 20 inafanyia nini?
Wanashindwa nn kutoa hapo billion 2 watafute kocha world class.
Billion 8 wafanyie usajili wa kufuru. Alafu hiyo billion 5 itumike kulipa mishahara na mbwembwe zingine..then hiyo 5 ingine ibaki hapo bank kulinda account
Halafu baada ya msimu zitawekwa Billion 20 zingine ili kuwepo muendelezo wa hayo unayosema?

Na kama sivyo hapo Simba Sc kuna vyanzo gani vya mapato ambavyo vinakupa uhakika wa kurudisha hicho kiasi cha billion 15 ambacho utakuwa umekitumis ndani ya msimu mmoja?

Matumizi ya biashara yoyote ile yanapaswa kuendana na uwiano wa kila ambacho kinaweza kupatikana, hata kama si faida basi kinachorudi kisiache pengo kubwa ikilinganishwa na kile kilichotoka, sasa utumie 15B ili iweje, au unadhani hela zinachimbwa tu??

Kwa hicho kichwa chako sidhani kama unaweza kuendesha biashara hata ya genge la nyanya hapo uswahili kwenu.
 
Hii billion 20 inafanyia nini?
Wanashindwa nn kutoa hapo billion 2 watafute kocha world class.
Billion 8 wafanyie usajili wa kufuru. Alafu hiyo billion 5 itumike kulipa mishahara na mbwembwe zingine..then hiyo 5 ingine ibaki hapo bank kulinda account
Haipo cash bwashee. Ukitaka jinsi ilivotumika utapewa ufafanuzi.
 
Hahahah
Halafu baada ya msimu zitawekwa Billion 20 zingine ili kuwepo muendelezo wa hayo unayosema?

Na kama sivyo hapo Simba Sc kuna vyanzo gani vya mapato ambavyo vinakupa uhakika wa kurudisha hicho kiasi cha billion 15 ambacho utakuwa umekitumis ndani ya msimu mmoja?

Matumizi ya biashara yoyote ile yanapaswa kuendana na uwiano wa kila ambacho kinaweza kupatikana, hata kama si faida basi kinachorudi kisiache pengo kubwa ikilinganishwa na kile kilichotoka, sasa utumie 15B ili iweje, au unadhani hela zinachimbwa tu??

Kwa hicho kichwa chako sidhani kama unaweza kuendesha biashara hata ya genge la nyanya hapo uswahili kwenu.
 
Na utaendeshwa kweli kwa akili hizo ww B20 umepewa
Hela inawekwa bank sio hadharani. Acha ujuha. Ulitaka hela hiyo aje nayo mezani maburungutu.. ujuaji ukizidi utaonekana mjinga ile cheki hukuiona
 
Back
Top Bottom