Kuna haja ya kuangalia mavazi ya mtu kwenye usaili wa kazi?

Kuna haja ya kuangalia mavazi ya mtu kwenye usaili wa kazi?

Mtu aliyemaliza chuo mwaka 2010 huko bado atakuwa na hizo nguo? Na yuko kijijini mpanda huko?

Sijui unatetea nini ila uhalisia hakuna mtu kama uyo, hakuna muhitimu anayekosa surual na shati na kiatu. Point ni kwamba hatuwezi kuwa level moja ya mavazi lazima utofauti uwepo, cha muhimu ni kuwa nadhifu na kujipangalia vzr.
 
Mkuu unataka kusema we huelewi kuna watu wanavaa hadi vipedo na vimini-skeit kanisani? Jiulize why?
Alafu pia take into consideration kwamba kwa fani kama walimu mtu inatakiwa aingie darasani afundishe watoto wamuelewe unadhani kwa mavazi hapo juu watoto watakuwa na concentration?
Lkn si ni usaili wa kazi? Na kwamba ukipata kazi unaambia conditions za kazi? Au pesa unayopewa kuanzia kazi ni ya nini ile? Si ni pamoja na maandalizi na kama huna nguo rasmi ukatafute?

Hoja hapo anayosema jamaa ni kwamba Usaili unaangalia mavazi kwa sababu zipi?
 
Sijui unatetea nini ila uhalisia hakuna mtu kama uyo, hakuna muhitimu anayekosa surual na shati na kiatu. Point ni kwamba hatuwezi kuwa level moja ya mavazi lazima utofauti uwepo, cha muhimu ni kuwa nadhifu na kujipangalia vzr.
Unajipangiliaje vizuri na shati la miaka 4 nyuma? Ebu nieleweshe hapo kwanza. Hautosema hili shati limepauka?
 
Inategemea, Kama unaenda kichwa na nondo kwa kila eneo, mavazi hayana shida hata.

Ila kama unaenda mweupe na kuamini mavazi ndo yanakupa credit ni sawa.

Nina miaka 50, interview zote nilizoenda nilikuwa na tshirt na jeans, sijawahi kosa.

Kama kuna mavazi maalum na style si utaambiwa wakati wa kazi?

Hii mambo mnavaa nguo mpya, suti, tai, etc labda yawe maisha, ila sababu ya Interview? Trash
 
Inategemea, Kama unaenda kichwa na nondo kwa kila eneo, mavazi hayana shida hata.

Ila kama unaenda mweupe na kuamini mavazi ndo yanakupa credit ni sawa.

Nina miaka 50, interview zote nilizoenda nilikuwa na tshirt na jeans, sijawahi kosa.

Kama kuna mavazi maalum na style si utaambiwa wakati wa kazi?

Hii mambo mnavaa nguo mpya, suti, tai, etc labda yawe maisha, ila sababu ya Interview? Trash
Hii sasa ndio hoya ya yule jamaa kwenye group, nikaona kama ana point hivi, ila kwakuwa tumezoea kuna mavazi fulani ndio wasaili huangalia basi kuna watu makini sana wanaachwa katika kupata kazi.
 
Kuna mwamba mmoja alitoka Nchi za watu huko.
Alikuja na Tshirt imeandikwa wolf na Jeans kali sana.
Aisee jamaa alikuwa anajua umeme si kawaida.😀😀😀😀😀

Be casual..be smart kwa kichwa.
 
Ukienda TRA watu wanalipwa pesa nzuri lakini uvaaji wao kama wanavaa uniform yaani shati jeupe na blue bahari kawaida hivyo hivyo kwa Banks...Kaa chini ujiulize sana achana na wahuni hawa tafuta nguo nzuri uvae kuna marks..

Hyo inakuwa katika kipengele cha personality...
 
Kuna mwamba mmoja alitoka Nchi za watu huko.
Alikuja na Tshirt imeandikwa wolf na Jeans kali sana.
Aisee jamaa alikuwa anajua umeme si kawaida.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Be casual..be smart kwa kichwa.
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji3][emoji3][emoji3] Mpaka mbogo amkubali mtu basi kweli jamaa alikuwa balaa
 
Ukienda TRA watu wanalipwa pesa nzuri lakini uvaaji wao kama wanavaa uniform yaani shati jeupe na blue bahari kawaida hivyo hivyo kwa Banks...Kaa chini ujiulize sana achana na wahuni hawa tafuta nguo nzuri uvae kuna marks..

Hyo inakuwa katika kipengele cha personality...
Hao si waajiriwa? Na wanalipwa? Sasa mtu anayetafuta ajira hayo mavazi anayatoa wapi?
Ukivaa jeans na T-shirt kali na convo kali shida nini? Tuaajili mwonekano au akili ya mtu?
 
Hao si waajiriwa? Na wanalipwa? Sasa mtu anayetafuta ajira hayo mavazi anayatoa wapi?
Ukivaa jeans na T-shirt kali na convo kali shida nini? Tuaajili mwonekano au akili ya mtu?
Bro ukienda kufanya interview lazima uchunguze utaratibu wa ofisi hyo kwanza ,hii ni siri nilipewa na mwalimu wangu na imekuja kunisaidia ...Unaweza kuulizwa je hiyo kampuni ina deal na kitu gani ?

So unatakiwa kujua taratibu na sheria zao kwa ujumla moja wapo ni hii ya utaratibu wa mavazi maana zipo ofisi nyingi hata za kidini .
 
Lkn si ni usaili wa kazi? Na kwamba ukipata kazi unaambia conditions za kazi? Au pesa unayopewa kuanzia kazi ni ya nini ile? Si ni pamoja na maandalizi na kama huna nguo rasmi ukatafute?

Hoja hapo anayosema jamaa ni kwamba Usaili unaangalia mavazi kwa sababu zipi?
We unaamini kwamba watu huenda kwenye usaili na mavazi yasiyo sahihi kwasababu hawana uwezo wa kuwa na mavazi sahihi? The answer is No... bali ni kupuuzia tu sio swala la uwezo hilo.
Coming to next question, mavazi yanaakisi Umahiri, Jibu ni Yes or No. Yes kwa maana ya kwamba mtu mahiri ni pamoja na kusoma code za mavazi zinazotakiwa mahali husika. Kinyume chake ni sawa kwamba mtu asiye na uwezo hata wa kujua sehemu hii nivae vipi ili niendane na usahihi wa eneo husika hawezi kuwa mahiri hata kwa performance (most of the times) though kuna exception ila most of the time ndio inakuwaga hivyo
 
Asee mjadala mzuri japo sitaki Tena saili nlipofika mara kadhaa oral nlijua Tayarriii nmepita kumbe nlikua najidanganya nkavaa tofaauti ya siku zote Kwa ufupi nlikua smart wakaja kupita watu walikua smart kawaida tu.

Haya mambo hata siwezi yaelezea Cha msingi Kua smart tu.
 
We unaamini kwamba watu huenda kwenye usaili na mavazi yasiyo sahihi kwasababu hawana uwezo wa kuwa na mavazi sahihi? The answer is No... bali ni kupuuzia tu sio swala la uwezo hilo.
Coming to next question, mavazi yanaakisi Umahiri, Jibu ni Yes or No. Yes kwa maana ya kwamba mtu mahiri ni pamoja na kusoma code za mavazi zinazotakiwa mahali husika. Kinyume chake ni sawa kwamba mtu asiye na uwezo hata wa kujua sehemu hii nivae vipi ili niendane na usahihi wa eneo husika hawezi kuwa mahiri hata kwa performance (most of the times) though kuna exception ila most of the time ndio inakuwaga hivyo
Mavazi hayana uhusiano na akili ya mtu bhana, acha huu uongo. Hali ngumu ya nchi yetu ni kutokana na aina hiyo ya mawazo ya kipumbavu.
 
Sijui unatetea nini ila uhalisia hakuna mtu kama uyo, hakuna muhitimu anayekosa surual na shati na kiatu. Point ni kwamba hatuwezi kuwa level moja ya mavazi lazima utofauti uwepo, cha muhimu ni kuwa nadhifu na kujipangalia vzr.
Bro usikaze shingo sana hao watu wapo na hawana hata pasi na hata akiazima akanyooshe nguo gani, tusijifananishe jmn watu wanamaisha magumu sana.
hata hapa hapa JF Kuna member wanalala njaa huez amin Kwa kudhani mpka mtu awe jf basi anakazi au anasoma au Kwa namna yyte Ile anavijisent.
 
Bro usikaze shingo sana hao watu wapo na hawana hata pasi na hata akiazima akanyooshe nguo gani, tusijifananishe jmn watu wanamaisha magumu sana.
hata hapa hapa JF Kuna member wanalala njaa huez amin Kwa kudhani mpka mtu awe jf basi anakazi au anasoma au Kwa namna yyte Ile anavijisent.

Mtu mpaka yuko Jf it means ana smartphone na anauwezo wa kununua bando. Kama anauwezo wa kununua bando atashindwa kununua surual na shati??. Surual casual ya mtumba kuanzia 5,000 unapata tukija shati mpaka 3,000 zipo mitumbani.
 
Kama unashindwa kua na muonekano smart utafanya vizuri kazi za watu kweli. Mavazi yana matter kwenye interview.
Mavazi na huna kazi? Umewaza kwa upana wake kweli? Mavazi yana impact gani kwenye kazi zako? Let say umepigilia T-shirt na Jeans itaathiri uwezo wako wa kufikiri au ufanisi?
Yaani jibu hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom