Kuna haja ya kuangalia mavazi ya mtu kwenye usaili wa kazi?

Unajua ndio maana Watanzania wengi hatupati kazi nje ya nchi. Huwa tunadeal vitu ambavyo havina maana kwenye maombi yetu ya kazi.
 
Unachekesha kweli wewe. Kwangu mimi first impression matters na usinichukulie poa. Mengine uliyosema ni bullshit tu
Kwako wewe (USIYE NA AKILI) wenye akili hawawezi kutumia huo mfumo. Kwa maana haupimi akili na uelewa wa mtu bali mwonekano ambao pia sio kigezo cha kumpata mtu mahiri.
 
Kwako wewe (USIYE NA AKILI) wenye akili hawawezi kutumia huo mfumo. Kwa maana haupimi akili na uelewa wa mtu bali mwonekano ambao pia sio kigezo cha kumpata mtu mahiri.
Nisiye na akili ndiye mwajiri sasa. Nawaajiri ninyi wenye akili kwa vigezo vyangu nivitakavyo mfanye kazi kuendana na job description yenu.
 
Hii nchi bado sana, usaili figisu zinakuwa too much
 
Nisiye na akili ndiye mwajiri sasa. Nawaajiri ninyi wenye akili kwa vigezo vyangu nivitakavyo mfanye kazi kuendana na job description yenu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ndio maana huna wafanyakazi bora sasa. We ungesema unatafuta kibenten chako hapo fresh not good candidate.
 
Acha dharau aiseee. Ukiishiwa hoja usipende ku attack mtu na vitu vya kipumbavu.
Sasa tumeuliza hoja za msingi hujajibu unakomaa na First impression ndio maana nikasema hujatumia akili yako nzuri uliojaaliwa na mungu.
Kwenye maamuzi yako huwa unaendeshwa na mihemko na sio elimu yako.

Weka hoja yako hapa. Effect ya mtu kuvaa let say Jeans kwenye usaili ni nini kwenye taaluma yake?
 
Mtu mpaka yuko Jf it means ana smartphone na anauwezo wa kununua bando. Kama anauwezo wa kununua bando atashindwa kununua surual na shati??. Surual casual ya mtumba kuanzia 5,000 unapata tukija shati mpaka 3,000 zipo mitumbani.
Auze simu anunue nguo. Na hizo ajira atazionaje sasa, na bando sio kila siku utanunua kwako wew ni rahisi, hilo shati la aftatu nidhahiri huwezi kua smart kumliko mtu mwenye kipato anaenunua nguo mohakwamoja Kwa ajili ya interview husika. Hapo Bado hujavaa viatu utasema viatu Hadi af6 vipo he vya af6 utalibganisha usmart na Cha af35 mpka 70.

Cha msingi watu wawe smart ila tunazidiana maisha jmn
 
Hata muuza vyombo akiamka asubuhi lazima afute vyombo vumbi kuviweka smart! Mbona mkitongoza first date mnakuwa smart. Vijana vaeni smart kwenye interview acheni usasa utawaponza .

Kuna wauza vyombo wanapita mitaani na masufuria wamechomekea vizuri kabisa, wewe unayetaka kazi umeenda umevaa jeans na t-shirt kisa uaangalia Brain. Kama unahela ya kununua jeans unashindwaje kununua surual casual?
 
Mavazi muhimu mkuu yanakuonesha jinsi ulivo before hata ujaongea.
 
Hapa baba nenda na jeans
 
Fani gani hizo mkuu zinazokutafuta?
 
Sasa hapo kwenye Smartness huoni kwamba kuna watu utawanyima haki? Wale waliotoka maisha magumu mara nyingi hawawezi kuwa smart kama wa mjini. Hapo utakuwa umetenda haki?
Mkuu, ingekuwa vyema Kama ungetofautisha kuwa smart na kutupia(Kuwaka)
 
Mkuu, ingekuwa vyema Kama ungetofautisha kuwa smart na kutupia(Kuwaka)
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Jaribu kutofautisha smart na kuwaka kaka.
 
Ndugu yangu uvaaji wako unatafsiri mambo mengi hata usiyojua.
Huoni wanawake wanaotoboa pua na vikuku wanavyochukuliwa
 
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji3][emoji3][emoji3] Mpaka mbogo amkubali mtu basi kweli jamaa alikuwa balaa
Chief fikiria tu,mmekaa watu mnajiona kabisa hapa kichwani mpo njema.

Anakuja Mhuni mhuni tu.Kila kona unayopita anaijua.Hapa tunazungumzia utaalamu uliotukuka.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Awali jinsi alivyo vaa kila mtu aliona magumashi tu.
Sisemi tuwe wachafu,ila akili zinazojua vitu huwa zipo zipo tu.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Kuna raia wapo njema sana upstairs hapa Bongo.Ni mambo tu ya Kiafrica huku.
 
Vijana mazingira husika hubadili uvaaji.

Kama ni swala la kazi na ukajua unakoenda pakoje si mbaya ukavaa vyema.

Ila kuvaa kuendane na kichwani kwa wakati huo.

Kuna sehemu zingine vaa upendeze kama Malaika,unakutana na wafanya Interview wameshavurugwa na cables huko wanakupa mkazi wa dakika 30 tu.

Hapo utajua tai yako imesaidia nini.

Dunia inahama kwa kasi sana kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…