Kuna haja ya kuficha kinachojadiliwa kama kina manufaa ya wananchi?

Kuna haja ya kuficha kinachojadiliwa kama kina manufaa ya wananchi?

CHADEMA kuna uhuni mwingi unaendelea chini ya Kapeti, Nina wahakikishia agenda zoote ambazo wameleta mezani nimeshangaa KATIBA Mpya imeandikwa ikiwa ya mwisho kabisa!

Nimemweleza katibu kwamba minutes ziandikwe kama zilivyo wasizikwepeshe!

Kikao cha awali na Mbowe kulikuwa ni kujadili walete hoja zipi na zipi siziguswe

KATIBA Mpya imeguswa kisanii sana sana yan

Uhuru wa Kujieleza Kwa wananchi imeguswa Kwa neno moja


Ila cha kushangaza Chadema wana leta hoja za kwamba tu Naomba umsamehe Lissu , kwani Lissu ana kosa gani?

Ujinga mtupu ndani ya Chama

Mwenzako anasema kikao kina usiri mwingi, ww unajua kila kinachojadiliwa, kwanini usimsaidie ili asilete uzi wa kupunguzia stress?
 
Toka lini uliwahi kuwa mtetezi wa upinzani? Wewe kama mwanaccm ikiwa upinzani ni dhaifu si ndio furaha yako? mbona kama unaumia.
Aisee! Wewe una matatizo mawili mpaka sasa;

1. Huelewi. Sijaona nilipotetea au kujihusisha na upinzani (ili iweje kwanza?!!!). Mi nimesema tu kilichopo; furaha yangu siasani ipo katika kuona kina mbowe wanavyowachezesheni karata zao vizuri.......inanichekesha sana!
2. Kumbe wewe ni mmojawapo unayeamini kuna upinzani?!!!! Tafadhali kapime tezi niliyoisema!
 
Sukuma gang fc at work.

Nyie walipokuwa wamefungwa mlisema wamejitakia sasa wanataka kula Asali mnawafata fata wa nini?
We mshenzi nini? Kwahiyo sikuhizi kila mtu akiongea ni lazima aitwe sukuma gang, au nayo ni sifa ya kutafutia likes humu?? Sukuma gang baba yako na mama yako.

Unashindwa kujadili hoja , umekalia kuita watu Sukuma gang.
 
Mikataba ya madini yote ni siri na bado tunaambiwa ina maslahi ya nchi. Kuna vikao walikaa akina Kabudi kipindi cha dhalimu na Barrick, vikao vile ya karibia miezi mitatu vilikuwa vya siri kubwa na tuliambiwa ni vya maslahi ya taifa. Hayo yote huyajui ama umepofushwa na hizi siasa chafu zilizokupotezea hadhi hapa jf? Naona unalazimisha kurudi kwenye game kwa nguvu.
Jamaa yuko desparate sana😅😅
 
Giza Giza Giza Giza linafanya vizazi vipelekwe pabaya

Vikao vinaendelea kinachojadiliwa ni tofauti na wanachowaambia watu!

Kwa kifupi Time is best judge and it will tell!

Kikao kinaendelea Kwa Siri kubwa kana kwamba wanaenda Kwa mganga?

Lakin wanadhani hatuyajui wanayojadili


Sidhani kama kuna haja ya kuficha hoja na agenda zinazoendelea

Where is Transparency,

Britanicca
Umejuwaje kuwa kinachojadiliwa sio tunachoambiwa??
 
Giza Giza Giza Giza linafanya vizazi vipelekwe pabaya

Vikao vinaendelea kinachojadiliwa ni tofauti na wanachowaambia watu!

Kwa kifupi Time is best judge and it will tell!

Kikao kinaendelea Kwa Siri kubwa kana kwamba wanaenda Kwa mganga?

Lakin wanadhani hatuyajui wanayojadili


Sidhani kama kuna haja ya kuficha hoja na agenda zinazoendelea

Where is Transparency,

Britanicca
Hiyo transparency mnaitaka kwa CHADEMA pekee? Mbona hamuwaulizi mboga-mboga?
Kwani CHADEMA hivyo vikao huwa wanakaa peke yao?

Zitto has sold his soul to the devil. Tunafahamu upande aliouchagua!
 
Baadhi yenu ni Bora mara1000 mkabaki gizani mara zote mmekuwa SII wa kuaminika na dhamira zenu zimekuwa haziko wazi na mara zote zinalenga ubinsfsi zaidi. Hivyo ni Bora waendelee kufanywa majadiliano kwa njia hii ya Sasa baadae watawapatieni mrejesho wenye tija Kwa taifa.
Safi kabisa mkuu. Umejibu sawia kabisa
 
Giza Giza Giza Giza linafanya vizazi vipelekwe pabaya

Vikao vinaendelea kinachojadiliwa ni tofauti na wanachowaambia watu!

Kwa kifupi Time is best judge and it will tell!

Kikao kinaendelea Kwa Siri kubwa kana kwamba wanaenda Kwa mganga?

Lakin wanadhani hatuyajui wanayojadili


Sidhani kama kuna haja ya kuficha hoja na agenda zinazoendelea

Where is Transparency,

Britanicca
Sikuwahi kujua kuwa wewe ni act-wazalendo, hongera.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Kikao kinamaslahi binafsi kwa CHADEMA sio kwa mwananchi wa kawaida.
 
Hiyo transparency mnaitaka kwa CHADEMA pekee? Mbona hamuwaulizi mboga-mboga?
Kwani CHADEMA hivyo vikao huwa wanakaa peke yao?

Zitto has sold his soul to the devil. Tunafahamu upande aliouchagua!
Anahangaika na chadema wakati washirika wake wapo au ushirika wao ni wamashaka anaona ni heri apate uhakika chadema 🤔
 
mpaka anawafokea wasiitukane serikali wala viongozi wa serikali kweli pesa nyko
Kama mungu wa Chato lilivyokuwa linatufokea kila likipata chance ya kuhutubia wananchi baada ya wananchi kutaka kujua zilipokwenda tilioni moja na nusu, pesa kweli ni nyko
 
Kama mungu wa Chato lilivyokuwa linatufokea kila likipata chance ya kuhutubia wananchi baada ya wananchi kutaka kujua zilipokwenda tilioni moja na nusu, pesa kweli ni nyko
cag alisema hakuna hela imepotea na hata kama aliiba lakini alipozipeleka mnazion mpaka sasa ona jiji linavyopendeza acheni ujuha mbowe kapewa hela ya kujenga ofisi kala mpaka leo amepanga aibu kubwa sana
 
cag alisema hakuna hela imepotea na hata kama aliiba lakini alipozipeleka mnazion mpaka sasa ona jiji linavyopendeza acheni ujuha mbowe kapewa hela ya kujenga ofisi kala mpaka leo amepanga aibu kubwa sana
Mikopo iliyokopwa awamu ya tano ifanyiwe review maana miladi tunayoonyweshwa haiendani na mikopo tuliokopa. (mwanaccm nguli Nape Mnauye- bungeni)

Dar kupendeza ilianza kitambo acha uzwazwa.
 
Giza Giza Giza Giza linafanya vizazi vipelekwe pabaya

Vikao vinaendelea kinachojadiliwa ni tofauti na wanachowaambia watu!

Kwa kifupi Time is best judge and it will tell!

Kikao kinaendelea Kwa Siri kubwa kana kwamba wanaenda Kwa mganga?

Lakin wanadhani hatuyajui wanayojadili


Sidhani kama kuna haja ya kuficha hoja na agenda zinazoendelea

Where is Transparency,

Britanicca
Zitto analinda ulaji wa kikosi kazi. Tusubiri CCM na CHADEMA waingie makubaliano haka kakikosi kajifie mbali.
 
Mikopo iliyokopwa awamu ya tano ifanyiwe review maana miladi tunayoonyweshwa haiendani na mikopo tuliokopa. (mwanaccm nguli Nape Mnauye- bungeni)

Dar kupendeza ilianza kitambo acha uzwazwa.
SIYO KWELI JPM KAIBADIRISHA SANA
 
Mikataba ya madini yote ni siri na bado tunaambiwa ina maslahi ya nchi. Kuna vikao walikaa akina Kabudi kipindi cha dhalimu na Barrick, vikao vile ya karibia miezi mitatu vilikuwa vya siri kubwa na tuliambiwa ni vya maslahi ya taifa. Hayo yote huyajui ama umepofushwa na hizi siasa chafu zilizokupotezea hadhi hapa jf? Naona unalazimisha kurudi kwenye game kwa nguvu.
Kwa hiyo kina Mbowe na dhalimu wako hawana tofauti?
 
Back
Top Bottom