Kuna Haja ya Kujifunza Kuhusu Soka kutoka Senegal

Kuna Haja ya Kujifunza Kuhusu Soka kutoka Senegal

Dan Zwangendaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
5,814
Reaction score
8,118
Kwa kipindi cha miezi 12 iliyopita, nchi ya Senegal imeonyesha outstanding performance katika mchezo wa Soka Barani Afrika. Senegal ni:-

1. Mabingwa wa Kombe la Mataifa Afrika,
2. Mabingwa wa Kombe la Africa kwa wachezaji wa ndani,
3. Mabingwa wa Kombe la Soka la Beach kwa Afrika,
4. Sadio Mane kutoka Senegal akiwa mchezaji wa club ya Bayern Munich ndiye mchezaji bora wa Afrika,
5. Pape Ousman Sakho kutoka Senegal ambaye ni mchezaji wa Simba Sports Club ndiye mfungaji wa goli Bora kwa Afrika yote.

Sidhani kama kuna nchi ya Afrika iloyowahi kufikia rekodi hii ya Soka kwa Afrika.

Tukajifunze huko wanafanya nini hawa kina Mane.

NB: Chama langu Simba tupieni macho zaidi Senegal kuna watoto under 20 wanapiga boli hatari ili waje Msimbazi.
 
Kwa kipindi cha miezi 12 iliyopita, nchi ya Senegal imeonyesha outstanding performance katika mchezo wa Soka Barani Afrika. Senegal ni:-
1. Mabingwa wa Kombe la Mataifa Afrika,
2. Mabingwa wa Kombe la Africa kwa wachezaji wa ndani,
3. Mabingwa wa Kombe la Soka la Beach kwa Afrika,
4. Sadio Mane kutoka Senegal akiwa mchezaji wa club ya Bayern Munich ndiye mchezaji bora wa Afrika,
5. Pape Ousman Sakho kutoka Senegal ambaye ni mchezaji wa Simba Sports Club ndiye mfungaji wa goli Bora kwa Afrika yote.

Sidhani kama kuna nchi ya Afrika iloyowahi kufikia rekodi hii ya Soka kwa Afrika.

Tukajifunze huko wanafanya nini hawa kina Mane.

NB: Chama langu Simba tupieni macho zaidi Senegal kuna watoto under 20 wanapiga boli hatari ili waje Msimbazi.
Kweli kabisa, tunaokoteza akina sawadogo yuko very slow and confused, baleke mcheza ndombolo,
Kuna namna MO anataka tupate aibu ili heshima na umuhimu wake ujidhihiri. Bila uongo mwaka huu ni aibu tena ingine
 
Kuna wapuuzi wanakwambia ligi ya Tanzania ni bora! Hii ndondo ya Tanzania ndio iwe bora?

Ligi bora timu ya taifa hata kwa wachezaji wa ndani bado ni kimeo
 
Kwa kipindi cha miezi 12 iliyopita, nchi ya Senegal imeonyesha outstanding performance katika mchezo wa Soka Barani Afrika. Senegal ni:-

1. Mabingwa wa Kombe la Mataifa Afrika,
2. Mabingwa wa Kombe la Africa kwa wachezaji wa ndani,
3. Mabingwa wa Kombe la Soka la Beach kwa Afrika,
4. Sadio Mane kutoka Senegal akiwa mchezaji wa club ya Bayern Munich ndiye mchezaji bora wa Afrika,
5. Pape Ousman Sakho kutoka Senegal ambaye ni mchezaji wa Simba Sports Club ndiye mfungaji wa goli Bora kwa Afrika yote.

Sidhani kama kuna nchi ya Afrika iloyowahi kufikia rekodi hii ya Soka kwa Afrika.

Tukajifunze huko wanafanya nini hawa kina Mane.

NB: Chama langu Simba tupieni macho zaidi Senegal kuna watoto under 20 wanapiga boli hatari ili waje Msimbazi.
Asalam alykum
 
Back
Top Bottom