Kuna haja ya kupiga vita umasikini wa nguvu kuliko kupiga vita UKIMWI

Kuna haja ya kupiga vita umasikini wa nguvu kuliko kupiga vita UKIMWI

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Umasikini ni janga kuliko hata UKIMWI, umasikini unahitaji akili kubwa ili ukabiliwe lakini sio ukimwi,umasikini unamizizi lakini sio ukimwi,umasikini ni chanzo cha kusambaa kwa ukimwi lakini ukimwi ni chanzo cha kuongezeka kwa umasikini kwa kiwango kidogo,umasikini unatisha hata zaidi ya ukimwi,.

Kuna haja ya kuwa na kampeni tokomeza umasikini kuliko kampeni tokomeza ukimwi. Mabango yote ya miradi yaandikwe "Tanzania bila umasikini inawezekana" badala ya "Tanzania bila ukimwi inawezekana"
 
Inawezekana pia sababu kubwa ya watu wengi kuumwa ukimwi ni umasikini.

Nakubaliana na hoja, inawezekana tukiutokomeza ujinga basi hata haya maradhi ya ukimwi yanaweza yasiwepo.
 
Back
Top Bottom