Kuna haja ya kuwa na JF Fantasy EPL

Kuna haja ya kuwa na JF Fantasy EPL

Epl ndiyo ligi pendwa kwa ukanda wa Africa mashariki hivyo watu wengi wanaifuatilia.

JF fpl kwanza itangaza zaidi Forum lakini pia itakuwa burudani kwa members pia.

Anaweza tafutwa mdhamini kila gw winner akapata 100k kwa week 38 ni 3.8M wa jumla 1M na utaaribu wa mshindi wa mwezi ukaangaliwa.

Nawasilisha

Nimetengeneza hii apa code 8sb3sf
Bado mdhamini tu ss
 
Nimetengeneza hii apa code 8sb3sf
Bado mdhamini tu ss
Screenshot_20230810-032218.png

Hii title vipi ikae hivyo hivyo au ifanyiwe changes ? Tukatoa hapo fpl tukaweka JF super league au Jamii Forum super league or soka league au vyovyote vile kuongeza mvuto .
 
Nadhani kesho tutashare kwenye social medias hii code 8sb3sf
 
Back
Top Bottom