Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Basi haina haja ya kuitwa JfNi watu wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi haina haja ya kuitwa JfNi watu wote
Basi haina haja ya kuitwa Jf
Haupo alone. Jamaa Katoa. Link cha kwanza kuignin. Siwezi sign up sijui kitu. Hii naona hainihusu.Yang sijaelewa kitu hata kimoja...mnieleweshe Basi nimalize mambo
Mtueleweshe basi.
Fantasy league ni kama game yaani unachagua wachezaji kutoka timu mbalimbali epl kupitia official site yao ,halafu unakuwa unapata points kulingana na performance ya wale wachezaji wako na ndivyo ranks zinavyopangwa kulingana na points ulizopata .Haupo alone. Jamaa Katoa. Link cha kwanza kuignin. Siwezi sign up sijui kitu. Hii naona hainihusu.
Lengo lako kujaza watu mpk wa insta ,fb na twitter au una lengo lingine?Ni league ya jf
Sawa mkuu vyovyote ni sawa tuView attachment 2713106
Hii title vipi ikae hivyo hivyo au ifanyiwe changes ? Tukatoa hapo fpl tukaweka JF super league au Jamii Forum super league or soka league au vyovyote vile kuongeza mvuto .
Hahahaha hali tete kwa wasio kuwa na halaandPoints zinasomaje huko wadau [emoji23][emoji23]
Hali n tete GW1 TU [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Points zinasomaje huko wadau [emoji23][emoji23]
Hali n tete GW1 TU [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuko wengiSjaelewa :
gw ??
fpl. ??
100k kwa wiki 38 ni 3.8M wa jumla ni 1M
Mzee naomba code ya EA RADIO maana nimetafuta nimekosaIpo tangu 2019
rn0cu5Mzee naomba code ya EA RADIO maana nimetafuta nimekosa