Kuna haja ya kuwa na Mtehama Mkuu wa Serikali, mifumo mingi kimtandao ya Serikali inasumbua sana

Kuna haja ya kuwa na Mtehama Mkuu wa Serikali, mifumo mingi kimtandao ya Serikali inasumbua sana

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Mifumo mingi sana ya KITEHAMA ya serikali ya TANZANIA ni majanga makubwa na inafanya kaz chini ya kiwango kabisa kuanzia mifumo ya malipo yan TRA ,mifumo ya malipo ya huduma , mifumo ya taarifa na maeneo mengi yanayo tumia mifumo ya kitehama ni tatizo sana sana

Nadhani kuna haja ya kuwa na MTEHAMA mkuu wa serikali ili yeye ndiye awe answerable maana mifumo inasumbua na hujui wa kumuuliza au msimamizi wake ni nani.

Sasa hatujui tatizo ni hao wataalamu wao walio waweka wapo chini ya kiwango !? Au ndio mambo ya kuajili GPA na sio umakini na ujuzi wa kazi.

Mfano: mifumo kamanya TRA wiki mbili zilizo pita nimehangaika TRA kupana control namba tu ya malipo naisubiri siku mbili eti mtandao upo down yaani hadi nikarudi tena siku ya pili na yenyewe control namba nikaipata saa 10 jioni tangu nilipo enda asubuhi saa tatu hebu nambie nani atakuwa na moyo wa kupoteza mda huo kuhangaika kulipa mapato wakati anajua atapoteza siku mbili kusubiri mfumo u generate control number tu.

Ukija kwenye mifumo ya taarifa kama NECTA hapo sasa kipindi cha matokeo ndio utajuta kuwafahamu unaweza hangaika siku nzima na na website yao ukashindwa.

Njoo mfumo wa ajira eti mtu aamke saa 8 usiku kutuma maombi.

Mifumo mingine ya afya na mashuleni huko balaa tupu mda wote mtandao upo down kazi haziendi tattizo ninini hiii mifumo ya serikali karibu maeneo yote iwe ya kubahatisha?
 
TRA ni balaaa mpaka nimeajiri mtu kisa usumbufu siwezi.
 
😀😀😀😀😀😀😀😀
Kuna haja ya kuwa na mwalimu mkuu wa serikali.
Kwa walimu wapo wengi wa kuuliza waziri wa TAMISEMI lakini pia kuna waziri wa elimu

Kitengo cha TEHAMA mifumo ikiwa inasumbua nani naye isimamia? Maana sekta zote mifumo yao ya kitehama ni kitendawili hakuna wa afadhali

Yaani blogger ambaye anaweza akawa na viewer's wengi au akamiliki website binafsi ikawa na watumiaji wengi huwezi kukuta imestack au iko slow kupita kiasi kuliko page au platforms za serikali, halafu kama hawalioni yaani

Awepo mtu wa kuisimamia mifumo yote YA SERIKALI ya KITEHAMA nchi nzima ili badala ya kuhangaika na idara husika awe anauwezo hata wa kuwawajibisha wana TEHAMA mizigo wasio na ujuzi.
 
Mifumo mingi sana ya KITEHAMA ya serikali ya TANZANIA ni majanga makubwa na inafanya kaz chini ya kiwango kabisa kuanzia mifumo ya malipo yan TRA ,mifumo ya malipo ya huduma , mifumo ya taarifa na maeneo mengi yanayo tumia mifumo ya kitehama ni tatizo sana sana

Nadhani kuna haja ya kuwa na MTEHAMA mkuu wa serikali ili yeye ndiye awe answerable maana mifumo inasumbua na hujui wa kumuuliza au msimamizi wake ni nani.

Sasa hatujui tatizo ni hao wataalamu wao walio waweka wapo chini ya kiwango !? Au ndio mambo ya kuajili GPA na sio umakini na ujuzi wa kazi.

Mfano: mifumo kamanya TRA wiki mbili zilizo pita nimehangaika TRA kupana control namba tu ya malipo naisubiri siku mbili eti mtandao upo down yaani hadi nikarudi tena siku ya pili na yenyewe control namba nikaipata saa 10 jioni tangu nilipo enda asubuhi saa tatu hebu nambie nani atakuwa na moyo wa kupoteza mda huo kuhangaika kulipa mapato wakati anajua atapoteza siku mbili kusubiri mfumo u generate control number tu.

Ukija kwenye mifumo ya taarifa kama NECTA hapo sasa kipindi cha matokeo ndio utajuta kuwafahamu unaweza hangaika siku nzima na na website yao ukashindwa.

Njoo mfumo wa ajira eti mtu aamke saa 8 usiku kutuma maombi.

Mifumo mingine ya afya na mashuleni huko balaa tupu mda wote mtandao upo down kazi haziendi tattizo ninini hiii mifumo ya serikali karibu maeneo yote iwe ya kubahatisha?
Solution rahisi hizo taasisi zijiunge na cloud computing.With cloud computing a person ar company eliminates a lot of expenses of buying your own hardware and software along with building, maintenance and electricity it takes to run their own data centre. Cloud providers ni kama Amazon Web Services(AWS), Microsoft Azure, Google Cloud Platform, Alibaba, IBM etc.
 
Solution rahisi hizo taasisi zijiunge na cloud computing.With cloud computing a person ar company eliminates a lot of expenses of buying your own hardware and software along with building, maintenance and electricity it takes to run their own data centre. Cloud providers ni kama Amazon Web Services(AWS), Microsoft Azure, Google Cloud Platform, Alibaba, IBM etc.
Sio kama hawahitaji Mzee ,tatizo ni usiri wa taarifa zetu yaani ukihost mifumo kwenye cloud ndio utapata unafuu wa gharama lakini information baba information zinakua rahisi sana kuingiliwa na cloud service provider
 
Mifumo mingi sana ya KITEHAMA ya serikali ya TANZANIA ni majanga makubwa na inafanya kaz chini ya kiwango kabisa kuanzia mifumo ya malipo yan TRA ,mifumo ya malipo ya huduma , mifumo ya taarifa na maeneo mengi yanayo tumia mifumo ya kitehama ni tatizo sana sana

Nadhani kuna haja ya kuwa na MTEHAMA mkuu wa serikali ili yeye ndiye awe answerable maana mifumo inasumbua na hujui wa kumuuliza au msimamizi wake ni nani.

Sasa hatujui tatizo ni hao wataalamu wao walio waweka wapo chini ya kiwango !? Au ndio mambo ya kuajili GPA na sio umakini na ujuzi wa kazi.

Mfano: mifumo kamanya TRA wiki mbili zilizo pita nimehangaika TRA kupana control namba tu ya malipo naisubiri siku mbili eti mtandao upo down yaani hadi nikarudi tena siku ya pili na yenyewe control namba nikaipata saa 10 jioni tangu nilipo enda asubuhi saa tatu hebu nambie nani atakuwa na moyo wa kupoteza mda huo kuhangaika kulipa mapato wakati anajua atapoteza siku mbili kusubiri mfumo u generate control number tu.

Ukija kwenye mifumo ya taarifa kama NECTA hapo sasa kipindi cha matokeo ndio utajuta kuwafahamu unaweza hangaika siku nzima na na website yao ukashindwa.

Njoo mfumo wa ajira eti mtu aamke saa 8 usiku kutuma maombi.

Mifumo mingine ya afya na mashuleni huko balaa tupu mda wote mtandao upo down kazi haziendi tattizo ninini hiii mifumo ya serikali karibu maeneo yote iwe ya kubahatisha?
ongeza GePG,TANePS nk nayo ni shida tu.
 
TRA ni balaaa mpaka nimeajiri mtu kisa usumbufu siwezi.
T.R.A si mfumo tu ni wapumbavu flani wanao jiona smart kumbe wapuuzi tu
unaenda lipa wanajizungusha kukuhudumia huduma zenyewe mbovu pumbavu zao

alafu wanauza stamp hawatoi risiti majuzi nimenunua stamp kudai risiti wakani mind
 
Mifumo yote ya serikali inasumbua....Wewe Nitajie ambao hausumbui mimi nikutajie pin yangu ya kadi benki
 
ongeza GePG,TANePS nk nayo ni shida tu.
Nahisi hizo ofisi zitakuwa zimejaa wapiga windows tuu na sio ma IT wenyw viwango maana mifumo ya serikali tena mingine ni nyeti kabisa ni kichefuchefu
 
Back
Top Bottom