mavya
Member
- Dec 24, 2021
- 31
- 58
Kwa muda mrefu sana tumeona Wizara ya mambo ndani ikikumbwa na changamoto nyingi sana. Hasa kwa vyombo vya ulinzi vilivyoko wizarani hapa. Police, magereza, uhamiaji, na fire.
Binafsi nilikuwa naona ili kuweka mambo sawa vyombo hivi vipelekwe Wizara ya Ulinzi ili kuvipa nguvu na kuweka Nidhamu ya hali ya juu sana.
Hii itapelekea vyombo hivi kuwa na common command, kufanya kozi kwa pamoja na kushirikiana kwa pamoja kuimarisha Ulinzi na Usalama kwa Taifa letu.
Binafsi nilikuwa naona ili kuweka mambo sawa vyombo hivi vipelekwe Wizara ya Ulinzi ili kuvipa nguvu na kuweka Nidhamu ya hali ya juu sana.
Hii itapelekea vyombo hivi kuwa na common command, kufanya kozi kwa pamoja na kushirikiana kwa pamoja kuimarisha Ulinzi na Usalama kwa Taifa letu.