Kuna hatua ugonjwa ukifika ni lazima busara itumike. Mnauza mali zote kulipia matibabu, ndugu anakufa kisha familia inabaki na umasikini wa kutupwa

Uhai ulikuwepo kabla ya binadamu kugundua pesa na nyumba,Mimi nitauza kila kitu kupigania uhai was mmpendwa wangu!

Haya mavitu niyakutafuta Ila uhai haununuliwi haijalishi nitabaki kwenye wakati gani nitanyanyuka na kupambana tena
Hakika una moyo kama wa mwanajeshi
 
Usikate tamaa,, huwezi kuacha mtu afe kisa kulinda mali, uhai unatoka kwa Mungu ma sio mwanadamu, why ukate tamaa? Huko mbeleni bila shaka utaomba wagonjwa mahututi ama walio ugua muda mrefu, wapigwe sindano za sumu wafe...weka utu mbele..
 
nyumba imeuzwa wanaoishi ndani wakapatwa na mshtuko wa moyo au presha wakafariki na wao ,badala ya mtu mmoja wanafariki watu wawili au watatu..je ni sahihi.?.
Sio sahihi hata kidogo mkuu
 
Wengine tumeshapita huko, na shida ilikuwa maDr walikuwa wanadanganya kuwa mzee ana tatizo flani linalotibika lakini kwa pembeni wanawaambia watu baki kwamba huyu mzee hana muda mrefu, kansa imesambaa kila mahali.
Doctor mbaya sana huyo aisee...
 
Umefafanua vema sana mkuu
 
Umenena vema hapa
 
Pole sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…