Mkuu..hujawahi kufiwa wewe.siku yakikukuta utatamani kuufuta huu uzi wako.
Sisi pia mwaka 2014,maza aliumwa sana,tukatumia gharama kubwa sana kumtibu,tulianza kwa kumpeleka hospital moja maarufu jijini nairobi, tukakaa nae almost miezi minne kule,wakatushauri tumhamishie India,hapo mzee nae pesa zikawa kama zimemuishia hivi ila akawa yuko tayari kuuza nyumba yake moja ili pesa zipatikane maza apelekwe india na familia nzima tuliridhia hilo,wakati tuko kwenye mchakato wa kuuza nyumba bahati mbaya maza kafariki dunia.