Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Mkuu GAUTAMA, njoo ata mara1 ututembee wadogo zako, sikuhizi mpemba wali 1'500 asee, watoto wa wafugaji tunaishia kula kwa mama ndumbi na cafeteria.
Yani idadi ya raia tunaopiga supp hapa ni kubwa sana, utadhani chuo kishafunguliwa vile. Nimekutana na kundi la vijana flani wa kizungu ambao nao wamedakwa wanalalamika kwa kusema mfumo wa elimu ya Tanzania ni mgumu sana ukilinganisha na wa nchi zao..
Ila we dr karamagi fresh tu, umenidaka na ec 226 na wkt course work ilikua nzuri, ubarikiwe sana. over
Mkuu GAUTAMA, njoo ata mara1 ututembee wadogo zako, sikuhizi mpemba wali 1'500 asee, watoto wa wafugaji tunaishia kula kwa mama ndumbi na cafeteria.
Mkuu GAUTAMA, njoo ata mara1 ututembee wadogo zako, sikuhizi mpemba wali 1'500 asee, watoto wa wafugaji tunaishia kula kwa mama ndumbi na cafeteria.
mbona ulisemaga huna supp mkuuYani idadi ya raia tunaopiga supp hapa ni kubwa sana, utadhani chuo kishafunguliwa vile. Nimekutana na kundi la vijana flani wa kizungu ambao nao wamedakwa wanalalamika kwa kusema mfumo wa elimu ya Tanzania ni mgumu sana ukilinganisha na wa nchi zao..
Ila we dr karamagi fresh tu, umenidaka na ec 226 na wkt course work ilikua nzuri, ubarikiwe sana. over
mbona ulisemaga huna supp mkuu
ha ha ha ha ha ha ha.....ni kweli mkuu....nakumbuka nikiwa chuo kuna jamaa walikuwa wanaficha kuwa wana supp utafikiri ni kilema yaani.....teh teh teh....enzi za Ishengoma na JAVA nilikomaje........nilicarry manina....ha ha ha ha haWe huwajui wapata sup...wanakataa hao labda uwafume chumba cha mtihani....
ha ha ha ha ha ha ha.....ni kweli mkuu....nakumbuka nikiwa chuo kuna jamaa walikuwa wanaficha kuwa wana supp utafikiri ni kilema yaani.....teh teh teh....enzi za Ishengoma na JAVA nilikomaje........nilicarry manina....ha ha ha ha ha
2002 is like now!Usijitetee wewe si wa kwanza kubukua hapo, watu tumepita hapo tena kitambo wakati muhandisi unatoka muhandisi kweli sio sasa hivi michakachuo kibao...mimi ni graduate wa 2002 nafahamu A-Z za hapo mlimani, wanaoshikwa vilaza wacheza viduku na disco!
2002 is like now!