Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
ivi sup ndo nn?tuambizane maana wengne twaja huko afu hatujui.
Nipo hapa nashuhudiaxTeh teh teh hata mi nakumbuka huyu Perry alisemaga anasoma engineering hapo COET nimeshangaa Leo kaja na swaga za Economics ha ha ha Advocate J njoo umuone senator0001 Leo kadakwa uongo
CC: Remote Excel
Yote tisa ukiona umepata supp maana yake uwezo wako wa kitaaluma ni mdogo
haiwezekan wenzako wasiwe na supp miaka yote halafu ww unakuwa nayo....
Ahahaha kuna wengine kila mwaka wa masomo lazima apate supp duhhhh
Ni aina flani ya chkula kinachouzwa bei rahisi sana ndani ya chuo na ni kitam mno
Ni aina flani ya chkula kinachouzwa bei rahisi sana ndani ya chuo na ni kitam mno
Dalili zinaonesha mapemaa hiyo supp huchomoi itakudaka tena maana sababu unazotoa hazina kichwa wala miguu atakudakeni hata buku nyie kama vilaza Dr afanyeje ni kula vichwa tu!
Dah! UDSM my old hood, Campus to Mabibo, Mabibo to Campus, Wali wa Mpemba mtamu huo, Block C was my hood.......
hivi unaijua shule ya UDSM wewe usikurupuke
kudwkwa pale ni kawaida si mshangao huo
loooh namkumbuka lyaruuu
hivi unaijua shule ya UDSM wewe usikurupuke
kudwkwa pale ni kawaida si mshangao huo
loooh namkumbuka lyaruuu
mwambie huyo anadhani ni st.John pale
hivi unaijua shule ya UDSM wewe usikurupuke
kudwkwa pale ni kawaida si mshangao huo
loooh namkumbuka lyaruuu
Hahahaaa unauliza Nzi kwenye bucha ya utumbo, yaani unamuuliza mhandisi mzima wa NICTBB with hons. eti anaijua shule ya UDSM ama la? We mtoto we, temea mate chini, utadisco nikikukosea radhi!
Hahahaaa unauliza Nzi kwenye bucha ya utumbo, yaani unamuuliza mhandisi mzima wa NICTBB with hons. eti anaijua shule ya UDSM ama la? We mtoto we, temea mate chini, utadisco nikikukosea radhi!
A cha utoto we we mnatumia mitaala ya mars? Mbna kuna ambao hawana supp hata moja ,? Supp ni supp tu uipate ukiwa MZUMBE,udom,cube,udsm,saut zote ni supp tuu ambazo zinaweza zikawa zimesababishwa na uzembe kula bata nk
nishamaliza kitambo labda ni disco club
Inaelekea uligraduate kwa kuvua chupi sana, that's why unashabikia sup. uwezo wa kubumba. Umemaliza vp kama sup. zilikua zinabebana.
masai dada, bora ukae kimya tu. Kuna watu humu hawataki kusikia mtu kasoma udsm, it's as if you're offending them.una uhakika mi ni mtoto??????