Bhudagala
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 325
- 311
300 wachache sana hao!!Kwani kusoma udsm ni nini yani.. Daahh watu washamba kweli aiseh.. Nimeamin msemo kuwa wanafunzi w udsm wamebakiwa na tambo tu..... Ila kichwani sifuri
watu tulichaguliwa vyuo vitatu ikiwemo udsm tukaenda vyuo vingine.....
miaka hyo unaomba chuo kwa form
darasa linakuwa na wanafunzi 300????? arghhhhhhhhh