Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
rudi nimejaza nyamaSababu ni nin?
KIJIJINI HAKUNA MWENDO KASIKumejengeka dhania ya kwamba watu wa vijijini wanaishi kwa muda mrefu kuliko watu wa mijini kutokana na aina ya mifumo ya maisha wanayoishi.
Unakubaliana na hili na unafikiri ni kwa nin watu wanaweka fikra hzi?
Pengine unaweza kuviepuka vyote, lakin unaweza vipi kuiepuka vipi hewa ya ukaa itokanayo na mkusanyiko wa viwanda vingi?Chakula asili
Mazoezi
Pia kuna maisha ya amani na furaha kule kijijini.
Lakini hata mjini unaweza kuishi miaka mingi kama ukaachana na mambo ya hovyo hovyo.
Kama wazee wa tz na jf wengi ni hovyo hivo hata life expectancy yao ni less than 65.
Hovyo kabisa
Kaishi kijijini ushuhudie kwa macho yako na sii kuambiwa,unataka kudanja mapema endelea kung'ang'ania kuishi mjini😀Kumejengeka dhania ya kwamba watu wa vijijini wanaishi kwa muda mrefu kuliko watu wa mijini kutokana na aina ya mifumo ya maisha wanayoishi.
Unakubaliana na hili na unafikiri ni kwa nin watu wanaweka fikra hzi?
Nilitaka kusema hili.Watu wa vijijini wanawahi kuzeeka jambo linalotufanya tuhisi kwamba wanaishi muda mrefu ila uhalisia wa mambo Bado Ngoma inasoma droo
Ni kweli mkuu,hivi niambie umeingia kwenye mwendo kasi Posta,limeshona kisawasawa,umesimama mguu mmoja mpaka unafika Kimara hapo kuna usalama kweli...?Ni kweli maisha kijijini hayana stress kama mjini. Na stress zina punguza life span.
LABDA WEWE UNATOKA KWENYE VISIWA VYA UROJO HUKO KULIKO ZAGAA CHIPS MPAKA VIJIJINI KWA MAMA KIZIMKAZIHapo kwenye chipsi nakataa