Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuchoka miili haraka nakataa, ni muonekano ndo unaokudanganya kutokana wanavyojiweka, na wazee wengi 70 wanakuwa wako fresh wanapiga jembe kama kawaidaVijijini wanazeeka haraka, sio kwamba wanaishi muda mrefu.
Kuhusu afya, uwepo wa hospitali zenye maabara nzuri na vifaa vya afya si suluhisho kwenye majibu ya hapa.
Mwaka jana Ilionyesha kwenye kila mimba 1000, watoto 56 wanakufa mijini, na 36 wanakufa vijijini. Na tuache story za kila siku kwamba vijijini umbali wa huduma za afya, na ukosefu wa vifaa tiba, sababu za kizamani sana tena zinazopendwa kutolewa na watu waishio mjini wasiopajua kabisa vijijini.
Point kubwa watu wa vijijini wanachoka miili haraka kuliko mjini. Sio kuishi muda mrefu.
Na ikumbukwe baada ya sensa, kuna only 3.4 % ya wazee Tanzania juu ya umri wa miaka 64.
Hapo hapo ni asilimia 63 tu ya watanzania wanaishi vijijini almost 40ml. (1-60 and above)
Piga hesabu zenu mtajua wapi wanaishi muda mrefu.
Refer my data, google data, then utapata jibu, mimi nimeandika juujuu. Nimekupa opinion yakuchoka muonekano, srry kama nimeandika mwili.Kuchoka miili haraka nakataa, ni muonekano ndo unaokudanganya kutokana wanavyojiweka, na wazee wengi 70 wanakuwa wako fresh wanapiga jembe kama kawaida
Wapi huko hapa tz kuna hewa ya ukaa mkuu..?Pengine unaweza kuviepuka vyote, lakin unaweza vipi kuiepuka vipi hewa ya ukaa itokanayo na mkusanyiko wa viwanda vingi?