Kuna ile dhana watu wa vijijini wanaishi miaka mingi kuliko wa mijini, kuna uhalisia kwenye ili?

Kuchoka miili haraka nakataa, ni muonekano ndo unaokudanganya kutokana wanavyojiweka, na wazee wengi 70 wanakuwa wako fresh wanapiga jembe kama kawaida
 
Kuchoka miili haraka nakataa, ni muonekano ndo unaokudanganya kutokana wanavyojiweka, na wazee wengi 70 wanakuwa wako fresh wanapiga jembe kama kawaida
Refer my data, google data, then utapata jibu, mimi nimeandika juujuu. Nimekupa opinion yakuchoka muonekano, srry kama nimeandika mwili.
 
Hata ukiishi miaka mingi then?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…