Mimi ninatumia kilevi na sigara,nilimuahidi bibi yangu mzaa mama nikiwa mdogo kuwa nikikua nitampa hela na kumnunulia mbolea,kweli nilitimiza!Alisifia kwa wanae wote kwa kweli nilifurahi mno kama vile nimekunywa Tungi la harusi ya kifahari hakuna mupe muruke!Sijawahi jihusisha na ulevi wa aina yoyote hivyo siwezi linganisha ila kuna raha unakua unaipata ni kali sana pale unapomsaidia mtu, akatatua tatizo pake,
Hua najiuliza wale wabahili wa pesa hua hawajui hilo jambo? Nadhani ni zaidi ya pombe au uraibu mwingine
Mimi ninatumia kilevi na sigara,nilimuahidi bibi yangu mzaa mama nikiwa mdogo kuwa nikikua nitampa hela na kumnunulia mbolea,kweli nilitimiza!Alisifia kwa wanae wote kwa kweli nilifurahi mno kama vile nimekunywa Tungi la harusi ya kifahari hakuna mupe muruke!Sijawahi jihusisha na ulevi wa aina yoyote hivyo siwezi linganisha ila kuna raha unakua unaipata ni kali sana pale unapomsaidia mtu, akatatua tatizo pake,
Hua najiuliza wale wabahili wa pesa hua hawajui hilo jambo? Nadhani ni zaidi ya pombe au uraibu mwingine
Upo sahihi,Sijawahi jihusisha na ulevi wa aina yoyote hivyo siwezi linganisha ila kuna raha unakua unaipata ni kali sana pale unapomsaidia mtu, akatatua tatizo pake,
Hua najiuliza wale wabahili wa pesa hua hawajui hilo jambo? Nadhani ni zaidi ya pombe au uraibu mwingine
🤣Ana hoja huyu asikilizwe.
❤Napata furaha sana nikimsaidia Mama
......ni kweli, ila utahuzunika, kughadhibishwa,kusononeshwa na kuchukia pale na wewe unaipata shida na wewenunahiyaji msaada Toka Kwa wale uliowasaidia kipindi fulani nyumba Cha maisha.
nakubaliana kua tuko tofauti, binafsi niko katika hatua amabo hakuna chakula ambacho ni kigeni au cha kuniifanya nione special, utamu wa chakula ni more momentarly than one can explainTupo tofauti
Mm nakuwa nawaza hyo hela bora ningenunua kuku Rost na kitimoto
wengi hawasaidii ila wanafanya uwekezaji, wanasahau ile rule ya " give and forget"Hawawez kuelewa…[emoji23][emoji23]Sawa tenda wema nenda zako usingoje shukrani lakini usiombe pale ndugu au jamaa yako uliye msaidia anakataa kukusaidia wewe na uwezo anao [emoji4]
nakubaliana kua tuko tofauti, binafsi niko katika hatua amabo hakuna chakula ambacho ni kigeni au cha kuniifanya nione special, utamu wa chakula ni more momentarly than one can explain
Yalinikuta haya, ila ninakawaida ya kutoa na kusahau, shida ukijikuta kwenye toxic family hua hawaelewi kama huna au unacho na hata kama huna unaitwa mchoyo mixer roho mbaya, kuna muda niljikuta nashindwa kuendeleza maisha yangu kabisa kwajili ya kuangaika na ndugu, yaani watu wanapigia hesabu hadi kiasi unachoingiza na ukifanya maendeleo yoyote binafsi hata kununua shati tu unategwa,watapigiana simu mara unaroho mbaya mixer utamwagiwa na radhi kabisa. Usiombee kuwa na wanafamilia wasio heshimu boundaries zako.......ni kweli, ila utahuzunika, kughadhibishwa,kusononeshwa na kuchukia pale na wewe unaipata shida na unahitaji msaada toka kwa wale uliowasaidia kipindi fulani nyuma cha maisha yako alafu unajikuta kwenye Dunia ya peke yako. Hata Simu za salamu hupati tena angalau akubip kisha aseme kakosea!
Saidia kwa akili na sio kwa ulevi wa sifa na kutaka kuheshimika hasa kwa hao ndugu na jamaa.
Kutoa ni moyo, ukitoa kwa moyo hata ukiwa na kdg tu...hupungikiwiFuraha ya kumsaidia mtu mwenye uhitaji huwa haielezeki, huwa najihisi amani ya moyo, nimekua mtaji mzuri pamoja kuwa mie mwenyewe nina dhiki zangu kibao tu.
Ila furaha hiyo huwa inazid Iwa na kumpa chochote mama yangu mzazi..