Kuna ile furaha unaipata unapomsaidia mzazi/mlezi, ndugu au jamaa hela au chochote, ni special sana

Kuna ile furaha unaipata unapomsaidia mzazi/mlezi, ndugu au jamaa hela au chochote, ni special sana

Sijawahi jihusisha na ulevi wa aina yoyote hivyo siwezi linganisha ila kuna raha unakua unaipata ni kali sana pale unapomsaidia mtu, akatatua tatizo pake,
Hua najiuliza wale wabahili wa pesa hua hawajui hilo jambo? Nadhani ni zaidi ya pombe au uraibu mwingine
🤗🤗🤗🙏
 
Labda kwa mzazi tu
Lakini fuvu zingine zinachosha, zenyewe zimeshajiweka kwenye mfumo wa kusaidiwa nenda rudi, mimi ni mara moja tu akirudi tena ni nampa makavu na undungu au ushikaje uishe ili nipumue
 
Back
Top Bottom