Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Martin Luther School Dodoma.....utanishukuruNapata shida sana baada ya kuhamishwa kikazi kuja dodoma nahitaji international school mkoa wa Dodoma , Kwa mnaojua nisaidieni nipeleke wanangu
Hii ndo uhakikaMartin Luther School Dodoma.....utanishukuru
Kilevi kimekolea kichwani.Za dar mbona anakuwa bweni na anasoma bila shida likizo analetwa na ndege hadi Dodoma bila shida
Mbona wako hadi watoto wa chekechea na msingi wazazi unakuta wako mikoa mingine ambayo haina International schools popote wanasomeshwa International schools Dar nk wakifunga hata kama uwanja wa ndege haupo kama migodini nk wanapelekwa na ndege ndogo za kukodi ziwezazo kutua popote kusiko na uwanja wa ndege au hupelekwa na helicopter za kukodiwa na shule wakifunga
Hao wako wewe wana kitu gani special wasibaki kwenye hizo shule International huko wanasoma waje Dodoma likizo tu mbona bweni zipo tena VIP wanalala kila mtoto chumba chake peke yake hela yako tu ushindwe wewe
Wewe lofa huna hela.Wenye hela mikoa kibao hizo International schools hazipo na wanasomesha huko wanaondoka na ndege za abiria au private ndogo za kukodi kwenda shule na kurudi
Wewe Pesa huna lofa wewe
ELIMU ELIMU ELIMUAlmes
St mary
Antonia
Feza
Cannon andrea
Ipo nyingine ya kichina
Canon Andrea ni international school ya muda mrefu sana Dodoma, na ndio pekee.Hakuna international school Dodoma bali kuna english medium kama saint mary
International schools wana mitaala yao ya kimataifa hawafati Necta, ni shule ambazo ada ni milioni 20 kwa mwaka kwa wastani, wanafunzi wengi ni watoto wa mabolozi wa nchi za nje na matajiri wanaojiweza.
Sio kweli kuna shule kibao zinatumia cambridge lakini hauwezi kuziita international schools.Inatumia syllabus ya Cambridge ya uingereza na mitihani wanafanya inayotungwa na Cambridge uingereza hawana mfumo wa Necta wa baraza la mitihani la Tanzania
Canon Andrea Mwaka School is an international school. Ipo Uzunguni, Dodoma. Ndo Shule pekee ya International school kwa Dodoma.Hakuna international school Dodoma bali kuna english medium kama saint mary
International schools wana mitaala yao ya kimataifa hawafati Necta, ni shule ambazo ada ni milioni 20 kwa mwaka kwa wastani, wanafunzi wengi ni watoto wa mabolozi wa nchi za nje na matajiri wanaojiweza.
Martine Luther ni English Medium School. Siyo Internationa school.Martin Luther sijaona mtu akiitaja
😂😂😂Wewe Pesa huna lofa wewe
Bora umenena.Hizo ni English medium sio International schools