VINICIOUS JR
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 208
- 518
Kwema ndugu zangu.
Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mshikaji ana mke wake amezaa nae watoto wawil huyo wa pili ana miezi minne sasa, ila kwa sasa huyo mke yupo anaishi kwa wazazi wake alikuja kujifungua tu anavodai ila anaishi mkoa mwingne kutokana na shughuli zake au ajira na mme wake bado yupo mkoa waliokuwa wakiishi mwanzo na mkewe ila kwa sasa mme anaishi pamoja na rafiki yake wa kiume ambae ameomba hifadhi kutokana na maisha yamempiga anavyodai.
Sasa cha ajabu mpewa hifadhi anamtongoza shem wake kwa meseji na mwenye mke kazifuma hizo meseji baada ya kushika simu ya mkewe, Sasa jamaa baada ya kuziona hizo message alivomuuliza mke wake, mke anamshauri mme wake avunge kama hajaona kitu hasimuulize chochote huyo rafiki yake akidai ndo uungwana
Hii aimekaeje wadau?
Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mshikaji ana mke wake amezaa nae watoto wawil huyo wa pili ana miezi minne sasa, ila kwa sasa huyo mke yupo anaishi kwa wazazi wake alikuja kujifungua tu anavodai ila anaishi mkoa mwingne kutokana na shughuli zake au ajira na mme wake bado yupo mkoa waliokuwa wakiishi mwanzo na mkewe ila kwa sasa mme anaishi pamoja na rafiki yake wa kiume ambae ameomba hifadhi kutokana na maisha yamempiga anavyodai.
Sasa cha ajabu mpewa hifadhi anamtongoza shem wake kwa meseji na mwenye mke kazifuma hizo meseji baada ya kushika simu ya mkewe, Sasa jamaa baada ya kuziona hizo message alivomuuliza mke wake, mke anamshauri mme wake avunge kama hajaona kitu hasimuulize chochote huyo rafiki yake akidai ndo uungwana
Hii aimekaeje wadau?