Kuna jamaa kutoka Ukraine kanistua tufanye biashara ya Mchongo

Kuna jamaa kutoka Ukraine kanistua tufanye biashara ya Mchongo

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Maisha haya yana risk nyingi sana.

Jamaa kanipa dili zito sana. Eti huko Ukraine kuna Bunduki kibao zikizotelekezwa, anaziuza kimagendo kuja huku Africa.

Kanishirikisha kwamba nikiweza nimcheki tufanye biashara.

Gharama za kusafirisha mpaka mzigo kunifikia ni juu yake.

Yani nawaza sana hii deal naiona Jela nje nje tena kifungo cha Maisha
 
lete mijegeja hiyo tukauze kongo.
 
Maisha haya yana risk nyingi sana.

Jamaa kanipa dili zito sana. Eti huko Ukraine kuna Bunduki kibao zikizotelekezwa, anaziuza kimagendo kuja huku Africa.

Kanishirikisha kwamba nikiweza nimcheki tufanye biashara.

Gharama za kusafirisha mpaka mzigo kunifikia ni juu yake.

Yani nawaza sana hii deal naiona Jela nje nje tena kifungo cha Maisha
Ingia dark web kaendeleze mapambano kama username yako inavyosema
 
Kuna mjinga kanichukulia manzi na sura yake nimecrame,naitaiji hiyo makitu
 
Back
Top Bottom