Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID, kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno.
Jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake. Imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.
Jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie. Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe, huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.
Jamaa hajajibu kitu.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID, kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno.
Jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake. Imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.
Jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie. Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe, huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.
Jamaa hajajibu kitu.