Kuna jamaa yangu alikua USAID akawa ananifungia vioo, leo kanitumia ujumbe kama nina mchongo wowote nimpasishie

Kuna jamaa yangu alikua USAID akawa ananifungia vioo, leo kanitumia ujumbe kama nina mchongo wowote nimpasishie

Isenye

Member
Joined
Dec 22, 2024
Posts
97
Reaction score
628
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.

Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID, kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno.

Jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake. Imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.

Jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie. Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe, huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.

Jamaa hajajibu kitu.
 
Ila wafanya kazi kwenye makampuni waliotegemea misaada ya USAID hivi sasa kila mahala ni kilio, wanatia sana huruma, wengine wameanza kutembeza CVs zao kwenye makampuni mengine..

Ila mzee sijui utakavyomtangaza msela, kama hadi umemfungulia nyuzi basi jamaa atatubu na hatorudia, kuwa makini umbea utakaopiga na wenzako inawezekana jamaa akajua, ujue kumfungulia nyuzi mtu, ina maana ndugu, majirani, mkeo hadi mtaa umewapa hii story..
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID,kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno,jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake.imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie.
Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe,huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.jamaa hajajibu kitu.
Una Roho ya kimaskini, ulichokifanya kimekuweka kwenye position ya kufanana nae, namshukuru MUNGU sijawahi kuwa na Roho ya kimaskini Kiasi hiki.

Nikikusaidia na ukafanikiwa, nitafurahi Sana, ukifanikiwa kabla Yangu, namshukuru MUNGU maana najua na Mimi Kesho Yangu ipo, nikifanikiwa kwa namna Yoyote ile, nitafurahi kuona nakua na Msaada Kwako.

Kama Una ubaya ni wa Kwako Sio wa Kwangu, siwezi kuumia kwa MTU mwingine kufanikiwa (mafanikio mema lakini) au siwezi kufurahia MTU mwingine akipata shida. Hii ndio Imani Yangu.
Inapunguza stress na unnecessary makasiriko
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID,kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno,jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake.imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie.
Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe,huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.jamaa hajajibu kitu.
Aisee...ndo gwaride limepiga nyuma geuka wa mwisho kawa wakwanza ndo hii sasa
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID,kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno,jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake.imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie.
Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe,huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.jamaa hajajibu kitu.
NAKUOMBEA uishi humu

"When a hero stumbles, the cowards rejoice. Nothing feels better to a coward than to see a brave guy fall" - Dave Chappelle.
 
Mssamehe tu mkuu, watu wengi wako hivyo. Mimi classmate wangu mmoja aliwahi kupata kazi benki moja hivi, akapata vijisenti wakati wengine bado tunajitafta, akawa na maringo mengi sana hata kwenye group la darasa letu wa mwaka wetu akajitoa. Miaka michache iliyopita nadhani pale kazini paliota nyasi, akaanza kututafta ambao hatukua na chochote( kwa sasa tuna zaidi ya chochote)

Akaanza kuomba akopeshwe elfu 20, mara 30 eti atalipwa siku flani, siku flani. Akaanza kuomba akopeshwe kiwango cha pesa ambacho mimi siwezi kumkopesha mtu, below 100k sikukopeshi, nakupa tu, sasa ajabu mtu ananiomba nimkopeshe elfu 20 au 30 nikajiuliza sasa hii inamsaidia nini huyu boss?

Mpuuze tu mkuu.
 
Kuna elimu ya kuwa na akiba wengi hawajaijua unavyobahatika kupata mchongo wa pesa nyingi ni lazima uhakikishe unaendelea kuishi maisha yale yale ata kwa mwaka mmoja kutunza kingi ili kesho yake inapotokea crisis yoyote basi unajua unaanzia wapi
Lakini hata hivyo sio jambo jema kufurahia anguko la mtu hata kama ni adui yako
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID,kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno,jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake.imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie.
Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe,huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.jamaa hajajibu kitu.
du umemjibu kikatili sana!ajue kuwa dunia inazunguka..
 
Back
Top Bottom