Tetesi: Kuna jambo baya linaendelea Mtwara...

Poleni sana! Tupe taswira ya maendeleo ya mapambano mpaka muda huu kama hutajali.
 
Nasikia washakalishwa zimebaki kambi mbili tu katika 7 zilizokua zinapigana na wajeda na Sasa wajeda wanasubiri mzeebaba awape go ahead wazema kabisa Hadi huko msumbiji Mana ndio wanafugwa huko
Wajinga sana hawa, kazi kufuga magaidi tu, mwishowe yanakuja kutusumbua huku
 
By the way, hawa magaidi wanataka nini hasa? Au wanawashwa tu na maisha wanataka kufa kwa mibomu ya Tz?
 
Dah!.. hatari sana
 
Tatizo lako unafata mtiririko wa maandishi ya kwenye vitabu
 
Tatizo lako unafata mtiririko wa maandishi ya kwenye vitabu
Wewe ukifata mtiririko wa vijiweni sawa.

Mara ya mwisho kusikia kambi la magaidi ambao ni kama separatists na walikuwa well funded na serikali ni kule Pakistan ambapo India ilituma ground attack fighters na kuwagaragaza dakika sifuri mpaka Pakistan ikafanya retaliation.

Uwe gaidi umiliki kambi? Si ni sawa na jambazi kumiliki kituo chao mbadala na cha polisi. Hizi kazi ni popote, leo mpo kesho hampo kuepuka kufuatiliwa kirahisi.
 
Kwa hiyo ntwara tayari ishakuwa kama syria...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…