Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Tujenge ukuta mrefu au @#$%& 😀 😀 😀 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binti jifunze kutumia maneno kwa usahihi, hao Ni waasi!Mungu awanusuru ndugu zetu, atulindie nchi yetu dhidi ya uasi
True sema umekuwa Siri kama unavyojuwa mkuu wetu hapendi taarifa zivuje.Nimearifiwa na mmoja wa wahanga kuwa katika kijiji cha Kitaya katika Halmashauri ya Nanyamba huko Mtwara kuna hali tete inaendelea huko.
Kijiji kimevamiwa na watu wenye risasi za moto hali iliyopelekea wananchi kukimbilia Porini....
Nimearifiwa na mmoja wa wahanga kuwa katika kijiji cha Kitaya katika Halmashauri ya Nanyamba huko Mtwara kuna hali tete inaendelea huko.
Kijiji kimevamiwa na watu wenye risasi za moto hali iliyopelekea wananchi kukimbilia Porini.
Mpaka asubuhi hii risasi zilikuwa zinaendelea kurindima.
Nimepatiwa taarifa hii na mkazi mmoja akiwa huko mafichoni na familia yake.
Nitaendeea kuwajuza kadri nipatavyo taarifa.
Tuwaombee.
Sio awaokoe atuokoe, ugaidi unasambaa kwa kasi kama ugonjwa, kama ilivyokua corona from China to the whole world.. unaweza jikuta kesho kimewaka Dodoma.Dah Mungu awaokoe
Iweke sawa ttz ni nini hao wanaorusha risasi na madhara yake yakojeNimearifiwa na mmoja wa wahanga kuwa katika kijiji cha Kitaya katika Halmashauri ya Nanyamba huko Mtwara kuna hali tete inaendelea huko.
Kijiji kimevamiwa na watu wenye risasi za moto hali iliyopelekea wananchi kukimbilia Porini.
Mpaka asubuhi hii risasi zilikuwa zinaendelea kurindima.
Nimepatiwa taarifa hii na mkazi mmoja akiwa huko mafichoni na familia yake.
Nitaendeea kuwajuza kadri nipatavyo taarifa.
Tuwaombee.
Unajua mkuu sisi sio kwamba tunalidharau jeshi kwa namna mnavyofikiria, HAPANA.Tetesi zilizopo ni kwamba. Wiki kama 2 zilizopita watu watz wapatao ishirini walifika kwenye huo ukanda wakakodisha gari kwamba wanakwenda kijiji cha mpakani mwa TZ na Mozambique kwenye arusi. Walipamba gari na makanga kama arusi hasa. Walishuka karibu na mto ruvuma kwa madai ya kwenda kuchimba dawa ambapo wote kwa pamoja hawakutaka tena kuendelea na safari. Driver alipowauliza walimfukuza kwa kumtishia na kumnyang'anya na fedha . Huyo driver alikwenda kureport kwa vyombo vya usalama karibu na eneo la tukio ambapo ninaamni kwamba kuna baadhi walifanikiwa kuvuka kwenda msumbiji kwenye kambi za uharifu.
Kwa kuunganisha nukta, inawezekana wale waliofanikiwa kuvuka ndio wanarudi kuja kupiga kwa ajli ya visasi.
Jeshi letu liko makini. Hatua za haraka zichukuliwe kukomesha huu wendawazimu.
Mmm haya tupe hbr zaidi ilikuwaje akaingia humoMost of the missions Israel inakuaga na mkono wake
Jamani poleni sana wana Mtwara,tusuburi viongozi wetu wa SerikaliNimearifiwa na mmoja wa wahanga kuwa katika kijiji cha Kitaya katika Halmashauri ya Nanyamba huko Mtwara kuna hali tete inaendelea huko.
Kijiji kimevamiwa na watu wenye risasi za moto hali iliyopelekea wananchi kukimbilia Porini.
Mpaka asubuhi hii risasi zilikuwa zinaendelea kurindima.
Nimepatiwa taarifa hii na mkazi mmoja akiwa huko mafichoni na familia yake.
Nitaendeea kuwajuza kadri nipatavyo taarifa.
Tuwaombee.
Tuyamalize tuDuuuh Mungu tuepushe na haya maajamaa , yarudi huko huko yalipotoka
PK na M7 ndio walikuwa wanawatumiamkwenda kuchota rasilimali kule NE Congo. Hata Alshabaab walipopigwa kule Tanga wakakimbili Kenya, maana yake nini? Na hao wa Mtwaravna Lindi, kila wakipigwa wanakimbili Msumbiji, maana yake nini?Nakumbuka jinsi P.Mboma alivyopambana na wale wa kule kaskazini, Kenya wakakubali mapigo; tusemezane na Msumbiji tu, hatutawasikia tena hao.
M23 walipopigwa kule Kongo, walikimbilia Rwanda na Uganda, maana yake ni nini hii?