Naona wadau mnampinga sana mleta mada kwa kudai kwamba hilo jambo si la kweli,,,,, binafsi ninao ushuhuda kuna dogo mmoja aliulizia hizo noti nikamwambia ninayo moja basi tangu siku hiyo alinikomalia sana nimuuzie kwa bei ya 3k tsh/= nikamtania kwamba anipe 5k/= akakubali nikamwachia ile hela coz skuona kazi yake,,,,,, kesho yake alirudi mwenzie akaniambia ile noti imeuzwa kwa mganga mmoja hivi huko bush kwa 30k tsh/=.
Nadhan hizo noti zitakuwa zina matumizi katka mambo ya kiganga,
NB; Wanatafuta jero za noti tu achana na hizi sa coins( sarafu).