Kuna jambo linaniumiza toka kwa mke wangu, nimwambieje?

Kuna jambo linaniumiza toka kwa mke wangu, nimwambieje?

Jack Daniel

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
2,912
Reaction score
12,904
Anauliza mdau wangu wa karibu ambaye tunaheshimiana na kushirikiana mambo mengi.

Mimi na mke wangu tuna miaka mitatu tangu tuoane,
Nampenda sana,na yeye ananipenda sana,sijawahi kushitukia usaliti toka kwake japo akiwa kama binadamu anaweza kufanya hata kwa siri ila binafsi sijawahi mshitukia ,kwani naweza shika simu yake na kuchezea huku na kule ila hajawahi hata kuonesha hataki na siku za weekend tukiwa wote ndiyo kabisa simu anaitelekeza labda ikiita ndiyo anashughulika nayo.

Suala nalotaka kushare nawe (Mimi) ni kwamba mke wangu hajui kupika , iwe wali,ugali,sijui rost lile nalolifaidi migahawani lakini sijawahi onja taste hiyo.

Yeye anapenda sana nile chakula alichopika ,hususani mida ya jioni akiandaa dinner au siku za mapumziko lakini wapi,huwa anaotea mara Moja Moja lakini asilimia 80 hajui.

Tunaye dada wa kazi ambaye ni fundi haswa tena anajua lakini mke wangu hutaka yeye asimame kama mke anipikie na nikiangalia ni kweli anastahili kunipikia,Sasa akipika basi siku hiyo mjiandae kula mataputapu,

Dada wa kazi aliwahi kusema hili wazi kwangu ila nilimkanya nikajifanyq sijui kama chakula huwa kibovu lengo nilitaka heshima kwa my wife isishuke.

Mimi mwenyewe sijui kupika zaidi ya kuchemsha tu vitu ilimradi vimeiva ila huwa si vitamu, natamani ningekuwa najua ningemfundisha mke wangu A to Z jinsi ya kuandaa misosi.


Je,nimuanzeje?

Nimwambie ukweli?

Je,lugha gani nitumie ili tusigombane?

Nampenda sana mke wangu.

Kijana mdogo anawauliza nyie wanaume wa jamii forum,hata wanawake mnaweza kuchangia.
 
Anauliza mdau wangu wa karibu ambaye tunaheshimiana na kushirikiana mambo mengi.

Mimi na mke wangu tuna miaka mitatu tangu tuoane,
Nampenda sana,na yeye ananipenda sana,sijawahi kushitukia usaliti toka kwake japo akiwa kama binadamu anaweza kufanya hata kwa siri ila binafsi sijawahi mshitukia ,kwani naweza shika simu yake na kuchezea huku na kule ila hajawahi hata kuonesha hataki na siku za weekend tukiwa wote ndiyo kabisa simu anaitelekeza labda ikiita ndiyo anashughulika nayo.

Suala nalotaka kushare nawe (Mimi) ni kwamba mke wangu hajui kupika , iwe wali,ugali,sijui rost lile nalolifaidi migahawani lakini sijawahi onja taste hiyo.

Yeye anapenda sana nile chakula alichopika ,hususani mida ya jioni akiandaa dinner au siku za mapumziko lakini wapi,huwa anaotea mara Moja Moja lakini asilimia 80 hajui.

Tunaye dada wa kazi ambaye ni fundi haswa tena anajua lakini mke wangu hutaka yeye asimame kama mke anipikie na nikiangalia ni kweli anastahili kunipikia,Sasa akipika basi siku hiyo mjiandae kula mataputapu,

Dada wa kazi aliwahi kusema hili wazi kwangu ila nilimkanya nikajifanyq sijui kama chakula huwa kibovu lengo nilitaka heshima kwa my wife isishuke.

Mimi mwenyewe sijui kupika zaidi ya kuchemsha tu vitu ilimradi vimeiva ila huwa si vitamu, natamani ningekuwa najua ningemfundisha mke wangu A to Z jinsi ya kuandaa misosi.


Je,nimuanzeje?

Nimwambie ukweli?

Je,lugha gani nitumie ili tusigombane?

Nampenda sana mke wangu.

Kijana mdogo anawauliza nyie wanaume wa jamii forum,hata wanawake mnaweza kuchangia.
Kwani unaoa ili upikiwe! Hio ni normal tuu! Mwambie ukweli kwamba hujui kupika
 
Anauliza mdau wangu wa karibu ambaye tunaheshimiana na kushirikiana mambo mengi.

Mimi na mke wangu tuna miaka mitatu tangu tuoane,
Nampenda sana,na yeye ananipenda sana,sijawahi kushitukia usaliti toka kwake japo akiwa kama binadamu anaweza kufanya hata kwa siri ila binafsi sijawahi mshitukia ,kwani naweza shika simu yake na kuchezea huku na kule ila hajawahi hata kuonesha hataki na siku za weekend tukiwa wote ndiyo kabisa simu anaitelekeza labda ikiita ndiyo anashughulika nayo.

Suala nalotaka kushare nawe (Mimi) ni kwamba mke wangu hajui kupika , iwe wali,ugali,sijui rost lile nalolifaidi migahawani lakini sijawahi onja taste hiyo.

Yeye anapenda sana nile chakula alichopika ,hususani mida ya jioni akiandaa dinner au siku za mapumziko lakini wapi,huwa anaotea mara Moja Moja lakini asilimia 80 hajui.

Tunaye dada wa kazi ambaye ni fundi haswa tena anajua lakini mke wangu hutaka yeye asimame kama mke anipikie na nikiangalia ni kweli anastahili kunipikia,Sasa akipika basi siku hiyo mjiandae kula mataputapu,

Dada wa kazi aliwahi kusema hili wazi kwangu ila nilimkanya nikajifanyq sijui kama chakula huwa kibovu lengo nilitaka heshima kwa my wife isishuke.

Mimi mwenyewe sijui kupika zaidi ya kuchemsha tu vitu ilimradi vimeiva ila huwa si vitamu, natamani ningekuwa najua ningemfundisha mke wangu A to Z jinsi ya kuandaa misosi.


Je,nimuanzeje?

Nimwambie ukweli?

Je,lugha gani nitumie ili tusigombane?

Nampenda sana mke wangu.

Kijana mdogo anawauliza nyie wanaume wa jamii forum,hata wanawake mnaweza kuchangia.
Mbona mambo madogo sana hayo? Mgahawani wanakaza sababu ile ni biashara, mke wako mfundishe taratibu, wmambie nn unapenda nn hupendi

Hakukuwa na haja ya kuja jf kwa mambo madogo kama hayo
 
Kuna Mambo mengine hayahitaji kuomba ushauri huku.
Kama kweli wewe ni mwanaume komavu unapaswa ulitatue kwa kuzungumza na mwenzio, kama umeshindwa basi shirikisha mama yako au yake.

Madogo mtakuja kuomba ushauri hata jinsi ya kuosha nyeti zenu.
 
1723730909226.jpg
 
Hii post Ina msaada gani kwa uchumi wa Tanzania
-Kuondoa sonona kwa ulaji mzuri wa mapshi ya kiufundi.
-Ulaji wa chakula cha hovyo huzeesha sura kwa kukosa uchangamfu.
-Ulaji wa chakula cha hovyo husababisha unyafuzi na udumavu ambao hutuelekeza kwa uzalishaji duni na usio na tija.
-Watu wasiokula vizuri hukosa furaha,kufurahiana na kutozaliana kwa wingi.Nguvukazi kuwa haba.
 
Unapaswa kuwa na uhuru wa kusema chochote kwa mke,iwe kwa njia ya sauti ya ukuu,au tumia utani lakin ujumbe ufike ,mfano mimi mke nilipoohisi uke wake unatoa harufu si ya kawida nilimwambia ,mke una tatizo amka leo hela hiyo hapo kaongee na daktar wa magonjwa ya wanawake na akafanya hivyo sasa tunainjoy,uspende kumpa faraja kwa jambo asiloliweza mweleze nn unataka kama upendo ni wa kweli atalifanyia kazi kama upendo ni wa zuga atachukia hivyo utajua unapigwa.
 
Back
Top Bottom