Kuna jambo linaniumiza toka kwa mke wangu, nimwambieje?

Kuna jambo linaniumiza toka kwa mke wangu, nimwambieje?

Hii post Ina msaada gani kwa uchumi wa Tanzania
Iwapo akili ya kijana itapata inachokiitaji itatulia.Ikitulia baada ya kupata chakula bora atafanya kazi kwa weredi tuchukulie kijana ni daktari.Atatibu watu mbalimbali ambao wakipona wataendelea kufanya kazi za kujenga taifa letu pendwa.
Huu ndo umuhimu wa hii post kwa maendeleo ya uchumi wa Tanzania.
 
Chukua huu ushauri kama mziefu wa ndoa
Tafuta clip za mapishi ntumie
Mwambie embu jaribu hizi dodnoo za huu upishi leo
Ikiwezekana kaa nae kabisa
Ila pia usijenge distance kubwa kias hiko na mke wako tengeneza ukaribu wa kuzungumza kias kwamba jambo hilo ni rahisi kusema

Mimi najua kupika kwa sababu nimejifunza kupika nikiwa mdogo sana
Kutokana na situation ya maisha wakati najiunga secondary nilikua napika sana kwenye mashuhuli ya shule na kupikia walimu
Lakini huku nilikoolewa mimi ndo mkali wa jiko
Nilichogundua watoto hawapewi nafasi ya kupika mambo yote ni hausgel
Anakuja kujifunza akiwa mkubwa so hapitii yale makosa ambayo sisi tumeyapitia tukiwa la tano la sita huko

Pia kuna mtu in nature tu hawezi kufanya jambo flani hata umuelekeze vipi

Kwa kuanzia tafuta simple food aanze nazo
Kama wali/maarage/mboga za majani
Kuna tons of instagram pages za kupika
Mtumie tafuta namna ushare nae
Ila narudia tena kuna distance kubwa sana na mkeo kama huwezi muelezea jambo hili
Ondoa hiyo mipaka kwanza
Yeye ndo ajifunze halafu amfundishe mkewe au wajifunze pamoja...

Huo ubwenyenye wa kutaka kupikiwa vitamu ilhali na wewe kuvipika huwezi ati anataka mke tu ndo ajue as if jiko ni kwa ajili ya mkewe tuu.

AJIFUNZE.
 
Yeye ndo ajifunze halafu amfundishe mkewe au wajifunze pamoja...

Huo ubwenyenye wa kutaka kupikiwa vitamu ilhali na wewe kuvipika huwezi ati anataka mke tu ndo ajue as if jiko ni kwa ajili ya mkewe tuu.

AJIFUNZE.
Aisee nimekupenda bure
Chukua maua yako
Yaani kwa mindset hii daah mkeo ata “nona”
 
Sio kosa mbona, mie nlikuaga napika ugali una mabonge mabonge, mme wangu akanielekeza kupika vizuri, chapati ndo usiseme nlikua napika ile mikate ya yesu akanifundisha pia.....

Muelekeze, ikibidi ingieni u tube mnaelekezana mnaingia jikoni wote kimahaba.
Nice one, big up sana kwako
 
Pole sana kwa changamoto, ingekuwa unajua kupika basi ungemfundisha kupika mkeo lkn wote mmekutana mgumbalu wa mapishi aina namna, apo ongea na dada wa kazi wako amfundishe kupika tu aina jinsi akubali kujishusha
 
Mlete dada yako au shangazi yako au mama yako akae na nyinyi kwa muda amfundishe kupika.
 
Kama jambo dogo hilo linakunyimq uhuru wa kuungumza na mke wako, vipi ikitokea maswala makubwa kama mfano ukahisi anakusariti?
 
Pole sana uyo alikulia maisha ya boarding sana hata mi dada angu mmoja yupo ivo hajui kupika mpaka tuwe wote nimfundishe kidgo angalau saiv anaweza
 
Kama jambo dogo hilo linakunyimq uhuru wa kuungumza na mke wako, vipi ikitokea maswala makubwa kama mfano ukahisi anakusariti?
Jamaa ni NICE GUY anaogopa kufikisha ujumbe kwa kudhani kwamba atamkera mwenzie,anaogopa kusema kwa kudhani mwenzie atajisikia vibaya hawa ndio nice guys ambao jamii imewazalisha,wanashindwa kuwa straight to the point hata kama jambo linawakera wao.

Mtoa mada sitoishia kukualumu tu bali nitakupa na solution kwa sababu najua kinachokutesa ni kwamba utafikishaje ujumbe na aufanyie kazi bila mtu mke kujisikia vibaya ama kuchukia.

Solution ni moja tu BE A MAN,ongea kistaarabu tu,usitis maneno ya kukera ama kuchukiza lakini yawe maneno ya ukweli.
 
Mkuu mimi kwanza nikupongeze kwa jinsi unavyompenda mkeo na jinsi ambavyo hupendi kumkwaza!
Zipo kozi nyingi u tube za mapishi,kaeni pamoja mjifunze na fanyeni mazoezi haitapita muda mtakuwa mmeshajua kupika!
 
Jamaa ni NICE GUY anaogopa kufikisha ujumbe kwa kudhani kwamba atamkera mwenzie,anaogopa kusema kwa kudhani mwenzie atajisikia vibaya hawa ndio nice guys ambao jamii imewazalisha,wanashindwa kuwa straight to the point hata kama jambo linawakera wao.

Mtoa mada sitoishia kukualumu tu bali nitakupa na solution kwa sababu najua kinachokutesa ni kwamba utafikishaje ujumbe na aufanyie kazi bila mtu mke kujisikia vibaya ama kuchukia.

Solution ni moja tu BE A MAN,ongea kistaarabu tu,usitis maneno ya kukera ama kuchukiza lakini yawe maneno ya ukweli.
Asome hii comment na kuifanyia kazi
 
Sasa mwanamke asiyejua kupika wa nini, kama hajui ni muhimu kujifunza. Kama mke, kuna moments lazima yeye ndio aingie jikoni, atengeneze mambo watu wafurahie nyumba yake.

Busara itumike ili asijisikie vibaya, ila kupika ni muhimu sana ajue. Achana na timu kataa ndoa, inachojua ni kuita dada×100 per day, bila dada hawawezi kumudu familia.
 
Back
Top Bottom