Iwapo akili ya kijana itapata inachokiitaji itatulia.Ikitulia baada ya kupata chakula bora atafanya kazi kwa weredi tuchukulie kijana ni daktari.Atatibu watu mbalimbali ambao wakipona wataendelea kufanya kazi za kujenga taifa letu pendwa.Hii post Ina msaada gani kwa uchumi wa Tanzania
Huu ndo umuhimu wa hii post kwa maendeleo ya uchumi wa Tanzania.