Iwapo akili ya kijana itapata inachokiitaji itatulia.Ikitulia baada ya kupata chakula bora atafanya kazi kwa weredi tuchukulie kijana ni daktari.Atatibu watu mbalimbali ambao wakipona wataendelea kufanya kazi za kujenga taifa letu pendwa.Hii post Ina msaada gani kwa uchumi wa Tanzania
We nae umevurugwa,hii post ni muhimu sana kwenye masuala ya familia.Hii post Ina msaada gani kwa uchumi wa Tanzania
Yeye ndo ajifunze halafu amfundishe mkewe au wajifunze pamoja...Chukua huu ushauri kama mziefu wa ndoa
Tafuta clip za mapishi ntumie
Mwambie embu jaribu hizi dodnoo za huu upishi leo
Ikiwezekana kaa nae kabisa
Ila pia usijenge distance kubwa kias hiko na mke wako tengeneza ukaribu wa kuzungumza kias kwamba jambo hilo ni rahisi kusema
Mimi najua kupika kwa sababu nimejifunza kupika nikiwa mdogo sana
Kutokana na situation ya maisha wakati najiunga secondary nilikua napika sana kwenye mashuhuli ya shule na kupikia walimu
Lakini huku nilikoolewa mimi ndo mkali wa jiko
Nilichogundua watoto hawapewi nafasi ya kupika mambo yote ni hausgel
Anakuja kujifunza akiwa mkubwa so hapitii yale makosa ambayo sisi tumeyapitia tukiwa la tano la sita huko
Pia kuna mtu in nature tu hawezi kufanya jambo flani hata umuelekeze vipi
Kwa kuanzia tafuta simple food aanze nazo
Kama wali/maarage/mboga za majani
Kuna tons of instagram pages za kupika
Mtumie tafuta namna ushare nae
Ila narudia tena kuna distance kubwa sana na mkeo kama huwezi muelezea jambo hili
Ondoa hiyo mipaka kwanza
Aisee nimekupenda bureYeye ndo ajifunze halafu amfundishe mkewe au wajifunze pamoja...
Huo ubwenyenye wa kutaka kupikiwa vitamu ilhali na wewe kuvipika huwezi ati anataka mke tu ndo ajue as if jiko ni kwa ajili ya mkewe tuu.
AJIFUNZE.
Nice one, big up sana kwakoSio kosa mbona, mie nlikuaga napika ugali una mabonge mabonge, mme wangu akanielekeza kupika vizuri, chapati ndo usiseme nlikua napika ile mikate ya yesu akanifundisha pia.....
Muelekeze, ikibidi ingieni u tube mnaelekezana mnaingia jikoni wote kimahaba.
Wewe ni ke, bisha!!!??Kwani unaoa ili upikiwe! Hio ni normal tuu! Mwambie ukweli kwamba hujui kupika
Upheld and seconded brotherDada wa kazi aliwahi kusema hili wazi kwangu ila nilimkanya nikajifanyq sijui kama chakula huwa kibovu lengo nilitaka heshima kwa my wife isishuke.
Jamaa ni NICE GUY anaogopa kufikisha ujumbe kwa kudhani kwamba atamkera mwenzie,anaogopa kusema kwa kudhani mwenzie atajisikia vibaya hawa ndio nice guys ambao jamii imewazalisha,wanashindwa kuwa straight to the point hata kama jambo linawakera wao.Kama jambo dogo hilo linakunyimq uhuru wa kuungumza na mke wako, vipi ikitokea maswala makubwa kama mfano ukahisi anakusariti?
Asome hii comment na kuifanyia kaziJamaa ni NICE GUY anaogopa kufikisha ujumbe kwa kudhani kwamba atamkera mwenzie,anaogopa kusema kwa kudhani mwenzie atajisikia vibaya hawa ndio nice guys ambao jamii imewazalisha,wanashindwa kuwa straight to the point hata kama jambo linawakera wao.
Mtoa mada sitoishia kukualumu tu bali nitakupa na solution kwa sababu najua kinachokutesa ni kwamba utafikishaje ujumbe na aufanyie kazi bila mtu mke kujisikia vibaya ama kuchukia.
Solution ni moja tu BE A MAN,ongea kistaarabu tu,usitis maneno ya kukera ama kuchukiza lakini yawe maneno ya ukweli.
Hapana! Kama ni mkeka umechanikaWewe ni ke, bisha!!!??