Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Wakenya wanajifanya wajuaji sana ila bado hata robo ya kujitambua bado
Angalia jiji linavyonuka majizi mpaka police wao
Ukipita na hela border wanawatonya police wakusubiri mbele unashushwa
Siasa zao ni ukabila tu
Waache wamalizane tu na ipo siku patawaka zaidi na watamalizana haswa kwa kuamini eti ni kujitambua
Al shabab nao wapate mwanya hapo
Angalia jiji linavyonuka majizi mpaka police wao
Ukipita na hela border wanawatonya police wakusubiri mbele unashushwa
Siasa zao ni ukabila tu
Waache wamalizane tu na ipo siku patawaka zaidi na watamalizana haswa kwa kuamini eti ni kujitambua
Al shabab nao wapate mwanya hapo