Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mkuu utakuwa uelewi siasa za ukanda huu au hata za Kenya, issue ya ukabila hapo siyo ya leo au jana.sasa kumbe issue yao haikuwa katiba bali walipaswa watafute namna yakusort tatizo la ukabila kwanza.
1992 kulitokea nini na wapi kiongozi? Na kama ni yale mauaji ya Rwanda ni 1992 au 1994?"Gachagua" kweli huyu mwamba ana roho mbaya sana na inasemekana ndiye alipanga uvamizi wa shamba la mstaafu Uhuru.
Nimeandika pale juu, ambapo kulitokea vita ya wenyewe kwa wenyewe ambapo ilileta msuguano sana, so hiki kinachotengenezwa na huu uongozi yetu macho!.
Mkuu nazungumzia issue ya Kenya hapa, mwaka ule wa 1992 yapata kama watu 5,000 waliuawa na wengine 75,000 kuhama kutoka kwenye makazi yao katika mkoa wa bonde la Ufa.1992 kulitokea nini na wapi kiongozi? Na kama ni yale mauaji ya Rwanda ni 1992 au 1994?
Kuna proof gani unaweka kutuwekea hapa kuthibitisha kwamba hao wahuni walitumwa na Vice President?Amani muswano.
Tupo chungu cha tano leo ndugu zangu ni kasi ya ajabu sana hii.
Nafuatilia siasa za jirani zetu hapo Kenya, kuna mambo yanafanyika siyo ya kistaarabu kwa kweli.
Naona huyu mujamaa makamu wa Rais ndg Rigathi Gachagua hana furaha anapoona wakenya wana amani.
Leo bana kuna shamba la miti lipo eneo la Northlands inasemekana ni la familiai ya Uhuru, sasa huyo makamu wa Rais katuma convoy ya watu wake na watu anaowajua yeye wamevamia na kuanza kukata ovyo miti.
Hilo siyo jambo zuri kwa kiongozi mkubwa wa kitaifa kufanya ubaya unaoonekana kwa raia kuna baadhi ya wakenya wanasema huyu jamaa anataka kufanya kama mapigano ya kikabila ya mwaka 1992.
Kama jirani mwema tu hapa ambaye jeshi letu la police linasifiwa kwa kutenda wema likija kunikamata nasema ndg makamu wa Rais Gachagua hicho unachokifanya hakikubariki.
STOP IT!.
Leta proof ya vice president kuwatuma hao wahuniMkuu nazungumzia issue ya Kenya hapa, mwaka ule wa 1992 yapata kama watu 5,000 waliuawa na wengine 75,000 kuhama kutoka kwenye makazi yao katika mkoa wa bonde la Ufa.
Wewe una ushahidi kama hao vijana walitumwa na huyo uliye mtaja ?Amani muswano.
Tupo chungu cha tano leo ndugu zangu ni kasi ya ajabu sana hii.
Nafuatilia siasa za jirani zetu hapo Kenya, kuna mambo yanafanyika siyo ya kistaarabu kwa kweli.
Naona huyu mujamaa makamu wa Rais ndg Rigathi Gachagua hana furaha anapoona wakenya wana amani.
Leo bana kuna shamba la miti lipo eneo la Northlands inasemekana ni la familiai ya Uhuru, sasa huyo makamu wa Rais katuma convoy ya watu wake na watu anaowajua yeye wamevamia na kuanza kukata ovyo miti.
Hilo siyo jambo zuri kwa kiongozi mkubwa wa kitaifa kufanya ubaya unaoonekana kwa raia kuna baadhi ya wakenya wanasema huyu jamaa anataka kufanya kama mapigano ya kikabila ya mwaka 1992.
Kama jirani mwema tu hapa ambaye jeshi letu la police linasifiwa kwa kutenda wema likija kunikamata nasema ndg makamu wa Rais Gachagua hicho unachokifanya hakikubariki.
STOP IT!.
Wee upo dunia gani?.Kuna proof gani unaweka kutuwekea hapa kuthibitisha kwamba hao wahuni walitumwa na Vice President?
Acheni Siasa za Maji Taka. Mmegundua Vice president ni Threat mkubwa kwenu. Ndio mnaanza kumchafua.
Uhuru hana tofauti na Jakaya, wamemaliza muda wao lakini wanaanda purukushani kuwakwamisha waliopo kwenye kiti! Sijui wanataka nini hawa wazee!Ndiyo maana muzee RAO anasema fungueni saver tuhakiki hawataki.
Kutokana na hili Uhuru hatakaa kimya kuna jambo atafanya nahisi kupitia haya haya demonstrations.
Keep the point and stay on!.
Aisee dah.....!! Simjui lakini.Ile ya Rwanda sidhani kama itakuja kutokea tena, watu laki moja ndani ya siku 90 za hofu na mashaka.
Gachuma anafanya siasa za kishamba, , ni vile tu katiba imnampiga pini.
Naamini mahakama itafanya kazi yake vizuri , Kenya huo mhimili japo ni corrupt lakini upo huru.
Mkuu Uhuru kaondoka kawakabidhi na kiwaachia nchi salama kabisa, so what's wrong kwake, kuvamiwa shamba lake au..?Uhuru hana tofauti na Jakaya, wamemaliza muda wao lakini wanaanda purukushani kuwakwamisha waliopo kwenye kiti! Sijui wanataka nini hawa wazee!
Huyo ndio mtu uliyemtaja hapo juu ktk uzi wako ?
Sisi tunasumbuliwa sana na UJINGA na UCHAWA na unatuponza haswaa.Wakenya wanasumbuliwa sana na ukabila na utawaponza haswaa
Utakuwa bado mdogo sana wewe kwenye wigonaa siasa.Huyo ndio mtu uliyemtaja hapo juu ktk uzi wako ?
Afrika ni shida ! Ipo documentary kwenye YouTube ya Al-Jazeera walifanya investigations kuhusu umafia wa dhahabu ya Zimbabwe unavyofanywa !! Wanaohusika ni wakubwa na mwezeshaji wa huo umafia ni yule muhindi aliyekuwa na ile kesi ya Goldeberg ya Kenya 🇰🇪 !! Tafuta Gold Mafia Episode 1 . 😱😱 Lini tutaendelea Afrika ??!!Hao akina Uhuru wamehodhi ardhi kubwa sana, waachie sehemu ya ardhi raia wengine nao wafaidi nchi yao.....Gachagua is right, ubinafsi siyo jambo zuri.
Nimesoma baadhi ya maoni yako na nimegundua ww bado sanaa ktk siasa izi za kikanda nimeona niwe mwerevu nikujibu kwa haka ka sms kamoja tuUtakuwa bado mdogo sana wewe kwenye wigonaa siasa.
Huko Tanzania watu na viongozi kadhaa wanamshutumu rais Magufuri kutokana na waliyofanya wale waliokuwa chini yake, kama unaelewa hapo ni kwa nini iwe hivyo?.
Twende taratibu kwanza nione uelewa wako!.
Sawa kabisa mkuu, kwanza shukurani kwa kusoma maoni yangu, pili nakushauri unaonekana ni mjuvi mkubwaaa saaaana wa siasa za ukanda wa maziwa makuu.Nimesoma baadhi ya maoni yako na nimegundua ww bado sanaa ktk siasa izi za kikanda nimeona niwe mwerevu nikujibu kwa haka ka sms kamoja tu