Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

Wakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida wakati navuka kati ya Feri na Kigamboni.

Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.

Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.

Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.

Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.

Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.

Nawasilisha

Hivi Kuna kina kiasi gani hapo,?
 
Wakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida wakati navuka kati ya Feri na Kigamboni.

Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.

Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.

Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.

Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.

Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.

Nawasilisha

Watu wa Dar wanapenda wenyewe na wamezoeshwa kubanana hata kwenye daladala ni hivyo hivyo!
Lakini management nayo ni mbovu.
Hizi boats ziwekwe viti maeneo yote ili kupunguza nafasi za kusimama. Bila viti mnajenga tabia ya watu kuona wabanane tu potelea mbali.
Wengine ndiyo njia ya kuibia wenzao.
Watu wakishazoea kubanana huwezi kuwaambia boat imejaa!
Vinginevyo tuombe lisitokee la kutokea.
 
Wakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida wakati navuka kati ya Feri na Kigamboni.

Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.

Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.

Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.

Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.

Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.

Nawasilisha

Nahisi serikali imetusomea albadiri na inatutoa kafara kimya kimya.

Nanutakuja kusikia kuwa TEMESA haiwezi kufanyia matengenezo ya mara kwa mara kwa sababu vivuko vinajiendesha kihasara.

Nchi hii hata aje malaika kuiongoza watamchakachua atake asitake
 
Back
Top Bottom